FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Sanaaaaa.....nimeamini ule mwiko wa kuchukua UEFA Mara mbili mfululizo hauvunjiki aiseee.....dohhh hakuna ambaye alitegemea kweli Athetico you deserve it mmejua kutumia mbinu vizuri.....Barca no plan B.....
timu zikibana pale nyuma zinatutesa sana. nimehuzunika sana.
 
nimeangalia mpira leo....barcelona i,ekuwa timu mbovu sana...
 
B
A.
S
H
A.
L
O
N
A

B
I
L
A

M
B
E
L
E
K
O

H
A
I
W
E
Z
E
K
A
N
I

[emoji638] : [emoji778]
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
kuna mbeleko moja hapo ya penanti mzee bitozi refa kaweka freekick wakati jamaa kashika ndani ya box.
lakini poa tu, atretico wamestahili 100%
 
Leo ni Atletico Madrid dhidi ya FC BARCELONA miamba ya catalonia na kiufup nakuwekea maneno machache yatakayoongelewa na maadui wa BARCA baada ya dkika 90 mechi ya leo
1:BARCELONA anabebwa sababu kadi za njano zilitolewa nyingi ila wao wakifanya faulo wanaachwa
2: BARCELONA anabebwa ile kadi nyekundu ilikuwa sio halali
3: BARCELONA ni timu ya mbeleko wamepewa penat wakat wenzao wamenyimwa ya wazi
4: BARCELONA imeshinda goli nyingi sababu Atletico walikuwa wanaukosefu wa mastar kama Torres
5: Messi magoli aliyofunga ni ya kawaida sana
6: Tulijua BARCELONA ingepita sababu Atletico hivi karibuni amekuwa anafungwa sana na BARCELONA
7: BARCELONA ni timu inayocheza wakiwa 12 uwanjani maana refa wakwao ndio mana inaitwa Uefalona
VIVA BARCELONA MORE THAN CLUB
Kwanini JF isiwe na raha kwa style hii hahaaaaaa. Sijui nicheke cheko la Wacha 1 khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
3599318_3585323img_jpeg3effe00f3d685a73de1215e5d856f483

Bora niililie simba kiuzarendo zaidi
 
Back
Top Bottom