Weeeee nomaaaaaa......Naona utabiri umekuwa kweli
Mkataba upi refa msnge penat ya wazi ile ***** zake
Kwa mbeleko ile ningeshangaa usingetikiHatimaye utabiri wangu umetia. Iko wapi hiyo vice versa
HakikaWeeeee nomaaaaaa......
#MchezoHuuHautakiHasiraMkataba upi refa msnge penat ya wazi ile ***** zake
Inauma ee. Wakati wengine wakisema mnabebwa huwa huelewi. Kitendo cha Suarez na Neema vip mmoja wao alikuwa ale red. Iniesta je?Mkataba upi refa msnge penat ya wazi ile ***** zake
Vipi hakuna aliyepewa red card Leo [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kwa mbeleko ile ningeshangaa usingetiki
#MchezoHuuHautakiMatusiMoyo wangu unalia na refa penat ya wazi kabisa refa anafiiirwwwaaaaaa Angekuwa karibu yangu ningemuinamisha yani penat ya wazi kabisaaaaa
Umeanza kuangalia lini au umeanza kuifatilia lini barca...mpaka leo hujui kipa yupi anadaka uefa, copa del ley na yupi anadaka laliga...sijui kwann Enrique kaanza kumpanga Ter stegen,sijui aliogopa ile mikwara ya dogo kutska kuondoka mwisho wa msimu coz anacheza mechi chache?!, hii game ni vita,anything is still possible!
Naona unatukana makusudi upewe ban,Kilio cha samaki machozi yanaenda na majiMoyo wangu unalia na refa penat ya wazi kabisa refa anafiiirwwwaaaaaa Angekuwa karibu yangu ningemuinamisha yani penat ya wazi kabisaaaaa
Dogo acha matusi Leo tulikuwa hatuchomoki kabisaaa hata bila Ile penalt matokeo yangebaki vile vile tungekuwa tushatolewa.....Leo tulikuwa wabovuuuuuuuuuuuuuuuuu......Athetico deserve a win.....Moyo wangu unalia na refa penat ya wazi kabisa refa anafiiirwwwaaaaaa Angekuwa karibu yangu ningemuinamisha yani penat ya wazi kabisaaaaa
Kwa hyo umefurahi??Dogo acha matusi Leo tulikuwa hatuchomoki kabisaaa hata bila Ile penalt matokeo yangebaki vile vile tungekuwa tushatolewa.....Leo tulikuwa wabovuuuuuuuuuuuuuuuuu......Athetico deserve a win.....
we umeona hiyo 2 .penalty ya barca je.?Inauma ee. Wakati wengine wakisema mnabebwa huwa huelewi. Kitendo cha Suarez na Neema vip mmoja wao alikuwa ale red. Iniesta je?
Mkuu huyo ni Barcelona tusigombane wenyewe VIVA BARCELONAUmeanza kuangalia lini au umeanza kuifatilia lini barca...mpaka leo hujui kipa yupi anadaka uefa, copa del ley na yupi anadaka laliga
nyie hamna thread yenu?Zidane exposed the show at Nou Camp and now every one knows how To deal with Barca
Sijafurahi ila ninajua kukubali matokeo .....nawe kubaliana tu na matokeo hayabadiliki hayo turudishe nguvu kny ligi.....Mpira unadunda unatakiwa uwe tayari kwa lolote.....Kwa hyo umefurahi??
Vice versa vipi imekubali au?we umeona hiyo 2 .penalty ya barca je.?
refa anawabeba atletico.ndo huyu alichezesha word cup final hajielewi.