Twende tukalale mdogo Wangu huku Leo watakupasua kichwa.....duh na kimvua kimeanza wacha mie nikafurahie sayansi ya Mungu.....usiku mwema....relax my dear fanya kama vile haijatokea...Viva Barcelona.Kwani timu za EPL zina miaka mingapi hazijatwaa Uefa
Ni mda wa Messi kuweka unwanted rekod baada ya kuona rekod zake haziwez vunjwaMess kavunja rekodi yake mwenyewe ya kutofunga goli hata moja kwenye mechi tano mfululizo hehehee
Poleni sana, msirudie tena kumfuata AtleticoBora jukwaa limetulia
Viva Barcelona najua leo tumeumia ila Copa del ray na La Liga tutafurahi
Wanaume wote dunian always mind men business...but when a man keeps talking about gayness at every chance he has , that is clear sign he is fucking embracing the gayness..u are a gay PNC ...totaly and completely.Penado mda huu anajiliwaza Morocco PAGAN anazurura JF
Hahaha eti anakata viuno 😀Gerard Pique saa hizi anakata viuno na Shakira tu. Huku JF PNC 1 povu linamtoka kama kameza sabuni. Teh teh teh
Naomba mods huyu PNC aliyekosa malezi ya pande mbili msimpige ban tunahitaji ajue mpira sio wa timu BarcelonaMoyo wangu unalia na refa penat ya wazi kabisa refa anafiiirwwwaaaaaa Angekuwa karibu yangu ningemuinamisha yani penat ya wazi kabisaaaaa
T eeeehe teeehe mpole sana mjipange kwa msimu ujaoTwende tukalale mdogo Wangu huku Leo watakupasua kichwa.....duh na kimvua kimeanza wacha mie nikafurahie sayansi ya Mungu.....usiku mwema....relax my dear fanya kama vile haijatokea...Viva Barcelona.
Aliwahi kusema Real Madrid wakiifunga Barca ataacha ushabiki wa mpira na apigwe banNaomba mods huyu PNC aliyekosa malezi ya pande mbili msimpige ban tunahitaji ajue mpira sio wa timu Barcelona
kwnn tushangae wkt Portal kasha chukua UEFA Champions LeagueMsije shanga mara Man City anabeba kombe. Nawaza tu
Kuna siku tulilijadili hili watu wakasema ooh tunamiliki mpira 80% hamuhitaji kuwa na beki bora ila nashukuru umeliona hilo....then next season we need to rectify wale mabeki wa kati,Pique & Mascherano hawana ubora,poor mistakes costing the team time and time again!
Unless otherwise,good luck kwa mliobakia!
Sababu % kubwa ya watu. Hawampi nafasi Man city.kwnn tushangae wkt Portal kasha chukua UEFA Champions League