FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Tukivuka kikwazo cha leo, kombe tunabeba. Na Madrid lazima apewe Bayern au Benfica, hawa jamaa tangu mtoano anapewa vibonde tuu.

11960009_581680335315515_106131142508909683_n.jpg
 
Barcelona imetolewa! Hivyo uefa haina ladha yeyote from now, without Barca nothing,,,

mashabiki na wasiokuwa mashabiki wa Barcelona duniani kote hawatojishughulisha na kufuatilia mechi zilizobakia..maana hazina kivutio chochote, coz bila kuwepo baba yao wa familia kila kitu kinaharibika, Poleni sana ma-fans wa baca, best club in the world na itaendelea kushika no1 forever.


12974302_813152628816534_8562433056892859063_n.jpg
 
kuna mbeleko moja hapo ya penanti mzee bitozi refa kaweka freekick wakati jamaa kashika ndani ya box.
lakini poa tu, atretico wamestahili 100%


18th March, 2016:
Luis Enrique: "The only team I wouldn't want Barca to draw is Barca and we can't get them."

14th April, 2016:
Luis Enrique: 🙄🙄🙄🙄🙄
 
Back
Top Bottom