FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hili jambo limekuwa linanistaajabisha na kuamini kuwa Barcelona ndio timu bora kuwahi cheza Mpira mzuri duniani
Nimesema hivi kwa sababu Manchester United ameendelea kuboronga na kushika namba 5 ila Barcelona tupo kimya na wala hawasemwi saana
Chelsea huyu simzungumzii ila watu kimya
Arse8 huyu hata leo kamuapisha Leicester ubingwa ila hajazongwa
Liveefool huyu alishajifia toka vita ya IDD Amini had leo hajui kombe la Barclay's ila watu kimya
AJABU BARCELONA KUPOTEZA MECHI 3 MFULULIZO IMEKUWA KERO MANENO HAYAISHI FUJO TUPU wakati LA LIGA tunaongoza ligi na Kombe la mfalme tupo final SASA HIVI BARCELONA IMEWAKOSEA NINI HATERS?? au kisa ni mbabe wa dunia mnatakiwa muelewe kuna kushuka na kupanda Barcelona ni mfano wa gari ya abiria wa masafa marefu kwa kadri inavyotembea saaaana njiani ndivyo hata service yake itakapochukua mda mrefu kidogo kuweka mambo sawa Hvyo Barcelona now ipo service ikianza kuwin haitapoteza had majaaliwa. Na la kujivunia sisi ndio Vinara wa Ligi kuu almaarufu La Liga Bbva
 
Utakuwa unaota


Next game kwa Barca Ni ngumu kwa vile Inapigwa Estadio Riazor. Sio ndoto mkuu nimeshashuhudia kwa macho yangu Barca anakaa kwenye uwanja ule.
 
Atletico wana nafasi kubwa sana kuwa mabingwa,wao now ndio wako kwenye fomu wanashinda goli 3 wakati mwanzoni ushindi wao ulikuwa 1-0 au 2-1
 
Mathieu aliumia na timu ya taifa France huenda asicheze tena msimu huu.Beki wa kati aliyefit ni Batra au Adriano anaweza chezeshwa kati
 
Licha ya kushambulia, nao wamekoswa kosea, ilitakiwa wapigwe mkono, yaaani tano! Valencia wamekosa magoli ya kijinga sana waliyopiga counter attacks!
Hilo ndio tulilosema kuhusu back line yao ila kiukweli bado ni timu tishio ingawa matokeo ya wiki hizi 3 yanawanya wapinzani wao wawaone ni wa kawaida na hilo nadhani hata katika dressing room ya barca mambo hayapo sawa kama ilivyo zoeleka.
 
Mathieu aliumia na timu ya taifa France huenda asicheze tena msimu huu.Beki wa kati aliyefit ni Batra au Adriano anaweza chezeshwa kati
Hivi PNC 1 Ni mshabiki wa barcelona ipi???

maana napata mashaka hapa haelewi ni mchezaji gani yupo fit na yupi ni majeruhi kwenye timu yao!!!

hawa ndio tunaita mashabiki wa kushangilia ushindi tuu, na mkuu barafuyamoto aliwahi kusema hawa jamaa ni mashabiki wa mkopo naona kuna ukweli HAPA!

dissappointed
 
 
Next game kwa Barca Ni ngumu kwa vile Inapigwa Estadio Riazor. Sio ndoto mkuu nimeshashuhudia kwa macho yangu Barca anakaa kwenye uwanja ule.
Usiongee kwa kuhisi haya sema mara ya mwisho deportivo kutufunga ni mwaka UPI?
 
Hapo ndipo ninaposhangaa unaifatilia Barcelona kuliko unavyoifuatilia Yokobus
 
Hapo ndipo ninaposhangaa unaifatilia Barcelona kuliko unavyoifuatilia Yokobus
wewe jamaa ni bureee kabsa, kwahiyo ulikuwa hujui kuwa mathew ni injured???[emoji15] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…