sasa hivi balaa litaanza. tulianza dhaifu sana.NAONA THREAD MDA SI MREFU ITAANZA KUVAMIWA NAFIKIR MATOKEO YABADILIKE FASTA
daaaah KIFO CHA NYANIsasa hivi balaa litaanza. tulianza dhaifu sana.
Sio kwamba hawafai,Kocha ndio amekuwa kiazi.Hawa watoto Alaves hawafai.
hahahaa, wameudhi sana. hata kama ni kuwapa wapya nafasi siyo hivyo. leo karibu timu nzima ilikuwa nje. mtindo wetu wa kutumia beki za pembeni kupandisha timu ulifeli sababu ya kukosa alba na Sergio. tujilaumu wenyewe. jumanne saa nne kasorobo tutakuwa na celtic.***** ina maana benchi zima la ufundi ndio lilipanga kikos kile kianze mamaee[emoji35] zao
Alaves ni wazuri pia hata atletico alitoa draw naoSio kwamba hawafai,Kocha ndio amekuwa kiazi.
Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri,barca hufungwa au huwa na wakati mgumu sana wakitoka international teams (tangu Kocha aingie hajaweza kuona tatizo hilo au analipuuza)
Kikichotokea amepanga tena kikosi (wachezaji wazuri )lakini hawajazoeana
Gharama za namna hii ni kubwa mno, point tatu kwa Spain ni mlima mkubwa sana kuupanda ,ikitokea bahati mbaya classical number 1, tukafungwa, hali itakuwa mbaya zaidi
mkuu inamaana umefurahia?Poleni mweeeeee sijui niseme piga haoooo........nyumba kuu hadi mchepuko majangaaa[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Alaves ni wazuri sikatai, ila kufungwa huku ni kwa kujitakiaAlaves ni wazuri pia hata atletico alitoa draw nao
Uko sawa kabisaBarca kimeo itashuka daraja msimu huu kama leceister
Nanukuu "Kuku wako manati ya nini?"DAKIKA YA 20
BARCELONA 0 ALAVES 0
KUKU WAKO MANATI YA NINI
Ndo mwisho wa uwezo wenu hapo***** ina maana benchi zima la ufundi ndio lilipanga kikos kile kianze mamaee[emoji35] zao