[emoji3] [emoji1] [emoji1] swali la kichokoz mkuuKama haupo kwenye media basi somea jappo kidogo
hii passion yako sio mchezo
utapendeza ukiwa kwenye radio au tv ukizungumza kuhusu football
Uko sahihi yani Barcelona nje ya first eleven hatuko vizur sanandiyo maana kocha alimpuumzisha busketi? ila kukosekana Pique, Iniesta na Alba kunanipotezea confidence. timu yetu ukiacha first eleven hatuna sub za kutisha. RM unakuto anatoka Benzema anaingia Morata. sisi anatoka Suarez anaingia Paco au dennis!
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
VIVA BARCELONA
KAMA KAWA KAMA DAWA KWA KISHIIIIIIIINDO TUNAMRARUA MUONGOZA LIGI WA EPL
[emoji1] [emoji1] [emoji1]hiki kiusukani kinajiangusha kama kinyani
Nataka kucheki ili game online ni app gani ambayo haistaki saaaana wakati nachekiBARCELONAAAAAAAAAAAAAA 1 KING MESSSSSSSSSIII
Sijajua mkuu ila nafikir uingie google ukisearch zitakuja live stream nyingiNataka kucheki ili game online ni app gani ambayo haistaki saaaana wakati nacheki