PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,181
- 20,148
Wachezaji wabarcelona hawakuhudhuria kwa sababu za kimchezo ,kesho tuna match muhimu cap Nou na round 16 copa de ley vilevile mshindi alishaandaliwa kwenye mabox kama CCm vile bongo ndio maana wazee wa Barcelona waliivujisha mapema.....wakakana sana kama Mwenyekiti ya tume ya uchaguzi wa bongo results zimekuja zile zile Gaynardo mdo bingwa
What the Catalans did is childish. Leo habari zimevuja wachezaji kama Iniesta individually wanted to be there lakini Board of Directors imewakataza wachezaji kuhudhuria. Halafu unavyodai mshindi kaandaliwa kama kwenye maboksi ya CCM napata wasiwasi na uelewa wako wa football. Inaelekea hata hujui kura zinapigwaje. Punguza kukaa Sana kijiweni, do your own study ujiongeze Mkuu.