Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo daddyNa kwako pia, ulikuwa wapi?
Sio kwa kufichwa huko!! Nani anakuficha hivyo?Nipo daddy
Hahahahaha Magu tu......halafu wewe ni mmoja wa waliokula nami mezani pangu japo jina geni kwangu jilete mwenyewe Kwa Waziri mkuu unipe ile id ya zamani hahahahahahaha!![emoji125] [emoji125] [emoji125]Sio kwa kufichwa huko!! Nani anakuficha hivyo?
Hahahaaaa! Nakuja maana umemisika hatari.Hahahahaha Magu tu......halafu wewe ni mmoja wa waliokula nami mezani pangu japo jina geni kwangu jilete mwenyewe Kwa Waziri mkuu unipe ile id ya zamani hahahahahahaha!![emoji125] [emoji125] [emoji125]
mambo yakoje uwanjani? kuna wautepetevu mwingi? naona dk zinayoyoma tu.Poor Barcelona
Yaani hawana lolote leo kila mmoja anacheza anavyo juamambo yakoje uwanjani? kuna wautepetevu mwingi? naona dk zinayoyoma tu.
Jikaze mkuu, lawama ya leo kocha hawezi ikwepa na kujaribu wachezaji!!!maskini barca yangu.
Ndo nini kunidanganya mwaka jana?Nipo daddy
Uko sahihi mkuu, anajifanya anajaribu wachezaji!!! Leo eti Vidal anacheza midfielder baada ya sub ya ArdaTatizo kubwa la Barcelona kwa sasa mimi binafsi naona ni Luis Enrique...ukitaka kuaamini kama umefatilia game zote za Barca laliga tangu Msimu Umeanza ebu angalia vikosi alivoaanzisha katika mechi tulizopoteza ... Ebu angalia usajili aliofanya Msimu huu,Denis Suarez tu kaonesha angalau ahueni..bila MSN sijui Huyu jamaa angekua wapi saivi...
Katika game karibia zote tulizopeteza amepanga vikosi vya kipuuzi..kitu kibaya zaidi ni kua hajifunzi kwa makosa yake...eti Mathieu na yeye ni beki anaechezea Barca...!!
Hii game ilikua sio ya droo kabisa...nawasilisha
huyu jamaa hajawahi kuwa strategist wala tactician mzuri. watu hawampigii kelele sababu timu inambeba na kuleta matokeo. pale usajili aliofanya ni Umtiti na Dennis tu ndiyo wanasomeka. pumbavu zake!Tatizo kubwa la Barcelona kwa sasa mimi binafsi naona ni Luis Enrique...ukitaka kuaamini kama umefatilia game zote za Barca laliga tangu Msimu Umeanza ebu angalia vikosi alivoaanzisha katika mechi tulizopoteza ... Ebu angalia usajili aliofanya Msimu huu,Denis Suarez tu kaonesha angalau ahueni..bila MSN sijui Huyu jamaa angekua wapi saivi...
Katika game karibia zote tulizopeteza amepanga vikosi vya kipuuzi..kitu kibaya zaidi ni kua hajifunzi kwa makosa yake...eti Mathieu na yeye ni beki anaechezea Barca...!!
Hii game ilikua sio ya droo kabisa...nawasilisha
Eti anapanga kina Mathieu kipindi ambacho ni kigumu kwetu laligaWalau tungekaa kileleni ndo ungeanza kuwapanga hawa akina Mathieu, hiki ni kipindi ambacho inabidi tukaze kwelikweli.
Yes uko sahihi..na umtiti mkuuhuyu jamaa hajawahi kuwa strategist wala tactician mzuri. watu hawampigii kelele sababu timu inambeba na kuleta matokeo. pale usajili aliofanya ni Umtiti na Dennis tu ndiyo wanasomeka. pumbavu zake!