Kwa sasa anaeheshimika zaidi ni RamosWe mtu upo?Iniesta ni mchezaji anayeheshimika kabisa nchi ya spain na umuhimu katika team yake Barcelona na spain Over!!
Mkuu cku zote huwa nnasema hum ndan s.roberty c wakumlaum..ckuwah kuona mild field dunian akibadilishwa number na kuchezeshwa fullback labda kama n wing.bora tungempandisha Eusebio timu ya wakubwa na kama Lucho anampenda sana Gomes ajue ataondoka naye. leo Sergio na Gomes ni kama hawakuwepo. jamaa utafikiri walituzidi watu wawili! kwa utepetevu wa roberto ni bora tujaribu 3-4-3. vinginevyo huu msimu tutakuwa na hali ngumu.
Mkuu n watu wa ajabu sana kufanya comparison ya Hao wawil...Iniesta tyar n mkongwe....umr umeenda sana... So huyo n wakucheza 10 to 15 min. According to the match...Kwa sasa anaeheshimika zaidi ni Ramos
Mkuu kimsingi saizi hatuna timu, ukiacha wale wa tatu wa mbele pale huku kwingine tunaunga unga sana hususani kwenye midfielderMkuu cku zote huwa nnasema hum ndan s.roberty c wakumlaum..ckuwah kuona mild field dunian akibadilishwa number na kuchezeshwa fullback labda kama n wing.
Mkuu team bado tunayo icpokua kocha ndo tatzo...and.Gomez,Paco na Mathew ndo vimeo... Sasa cjui umetumia kigezo gan kusema kua hatuna team...Mkuu kimsingi saizi hatuna timu, ukiacha wale wa tatu wa mbele pale huku kwingine tunaunga unga sana hususani kwenye midfielder
Hatuwezi sema tuna team kama kuna baadhi ya idara hazija kamilika kama coaching staff na hao wachezajiMkuu team bado tunayo icpokua kocha ndo tatzo...and.Gomez,Paco na Mathew ndo vimeo... Sasa cjui umetumia kigezo gan kusema kua hatuna team...
Paris saint-Germany 4 vs Barcelona 5
mints: 904
[emoji460]GoaL!!!!!Donald Trump
Long shot from white house
Assist by😛auL Makonda
Utanionea mkuuNakuripoti kwa moderators kwa huu utani
Real....kwa team mbovu kama Ile...labda bayern munich...
Messi alicheza CAMP NOU??Unakumbuka bayern alichowafanya 2013....First leg kawagonga 4-0 pale allianz arena..Second leg oh sijui messi mara ooh tutakua Nou Camp na bado mkagongwa 3-0....Aggregate score 7-0...Subirini kombe la mfalme ndo ushauri wangu...
Tushawaazoea hata huo mwaka mlisema Barca kali ni ile ya Dinho pia msimu ujao mtasema Barcelona kali ni ya mwaka jana iliyompiga PSG 7Zamani tulikuwa tukienda kuangalia game ya barcelona mpira ukianza tu unaskia hivi pique.. Alves!! Alves.. Xavi!! Xavi to Iniesta iniesta to messi! Messi back to Iniesta!! Iniesta to Pedro now it's messi again...Messsiiii. pepe! Khedira! Khedira lose the possession to Busquets!! Busquets to Xavi!! Xavi!! Pedro!! Pedroooo!!
Yaani majina ya wachezaji wa barcelona unayasikia mara kumi wakati huo majina ya wapinzani wanaocheza nao unaskia mara moja au mara mbili tu utafikiri barca wanacheza peke yao.. Ninachotaka kusema ni hivi barcelona hii ya sasa ambayo midfield yake inawekwa mfukoni na watoto wadogo kama Verrat na Rabiot sio ya kufanya maajabu hayo unayosema!! Barca ya kufanya hivyo ilikuwa ni ileeee ya gadiola(2009-2012) ile ambayo timu zilikuwa zinafanya kila liwezekanalo ziongoze kundi hili kuepuka kupangwa nayo hatua kama hii.
Hii barca ya sasa hivi ni MSN tu huku pengine pote pa kawaida sana na pakishikwa tu hata hiyo MSN inakuwa ni toothless kama ilivyokuwa jana.
shughulika na matatzo ya timu yakoKwa nini sikuwepo siku mnavo fungwa
Laaaah!!
Najilaum sana
Ahahahashughulika na matatzo ya timu yako