mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,736
I dare to say magoli yote sio kama yamefungwa kwa uzembe la hasha but ni uwezo binafsi wa Dyabala sioni Juventus wanachocheza zaidi ya kukaba tu ,yaani wana small team mentality wanakaba uwanja wa kwao sasa sijui ugenini watafanya nini shame this is totally unfootball