Dah halaf BJ hawa Mandisaster united wenzio naona wote wameingia mitini. Hakyababu mtoto wangu anaefatia namuita Messi
ilianza hivi.....pambavu sana messi..kaandunje kale,lol
ikafuata hivishushhhhh!!..:sick:
ikawa uzee wa goal keeperHuyu naye! anakaa golini kama gunia!? au ndio uzee unamsumbua!? Ahhhhhh!
ikawa kuhusu mama yake Messi,mzaa chema,the best playerDuh Messi... mamaezake huyu mtoto...
Barca 2 - 1 Man Utd
ikawa hivi???vidic anaziba k.nde badala ya kuzuia mpira!
<br />Mara zote tunazovaa jezi nyeupe tunafungwa tunaruhusu zaidi ya magoli mawili.
Hebu chukua break nyingine labda mambo yanaweza kujipa tena...hahahahah lol!
Mkuu watu wako mazoezini tu sasa mechi ishaisha hii. Yaani Manu wanaonekana kama majimaji ya songea tu. Ferguson mwenyewe kimoyoni moyoni ameanza kushangilia barcaJmaa sasa wanataka kuanza kufunga kwa kisigino
Valencia atolewe sasa naona hii mechi ni kubwa sana kwake....