FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

This is the worst comment in football this year damn [emoji23][emoji23][emoji6][emoji6]
Endelea kujichekesha Juventus sio wasindikizaji kama PSG,na hii,Barcelona ya sasa ni mbovu
 
swali ninalojiuliza hivi Mathiew na Gomes wamempa nini Enrique hadi hajielewi?
 
JANA JUVE KABEBWA ILA .WATU KIMYA NA REFA NI MZURI

ILA WAKIJA NYUMBANI WAKISHUGHULIKIWA MNAANZA KELELE TUMEBEBWA

Tunawataka Bayern SEMI FINAL
We waache match nimeangalia kuanzia dk ya 0-90 sijatoa comment yeyote ya kubebwa kwa Juventus huu ni ushahidi tosha sisi ni mashabiki wa kweli wa football
Offside zao ,handballs zao zote tumeziona na kuamua kutulia kimya
 
aaah
ni kweli hasa refa akisha wapa penat 2 mta pita tena.
ila ipo siku mpira utawafundisha kuwa nyie ni tim mbovu

Madrinyonyo akishinda nyingi home or home away.cc wanaBarca. Why Hatusemi mnabebwa?

Ngoja sasa nou camp tutawashikisha adabu, najua mtakuja na visababu vyenu hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…