Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,628
- 3,535
Usiende bana.....kaa kaa mpaka wakati wa kuchukua kombe tusherehekee pamoja......nini lakini BJ
Muache aende zake....sitaki watu walionuna wakati wa kusherekea kombe.....!!!!
Hongera BARCA.......you made my day!!!!