Usiende bana.....kaa kaa mpaka wakati wa kuchukua kombe tusherehekee pamoja......nini lakini BJ
ha! hani una viroja.....mimi nimetoa komeo peke yake kofuli nitatoa wakati wa kupokea kombe
Get your facts straight 2008 Man Utd waliwafunga Barca kwenye 1/2 final ya Champions League.only arsenal ndio alifanikiwa kumfunga barca katika english soil... Good nyt! Manutd fans! ...
Harakisha Michelle aisee! hapa leo ni kiduku kwenda mbele
Pole sana BJ...Game imeisha mpenzi!!..naangalia kukabidhiwa kombe mana ndiyo iliyobaki!!..kinauma acha tu!!mweeh
Muache aende zake....sitaki watu walionuna wakati wa kusherekea kombe.....!!!!
Hongera BARCA.......you made my day!!!!
MAN U yenyewe huipendi.....Naipenda Barcelona.....Hongera Barcelona....VIVA!!!!
You are the Best......:dance::dance::dance:
Pole sana BJ...
Wee ustoe kufuli mpaka tuonane, waswahili wasije wakabaka!
Tangu ulipotabiri mi niko tayari,mpitie Preta basi tuanze......thank you BARCA!!!