Leo anareigns supreme. Jamaa wana wanaweza drop points leo.Mara nyingi tu na mwaka huu watam crown tena kwa mara ya tisa mfululizo kama foward bora wa laliga this is totally dominance and not competition anymore mtaa wa pili acha walie
Mimi japo Enrique anaondoka i have been the last kum disappont achievements zake ,he is still the best coach kwa mantiki hiyo basi nyuma ya mafanikio yake alikuwepo Juan Unzue ambaye ni bingwa wa tactics ambazo Enrique mwenyewe alikua anazikubali akizi introduce and killer punch ni kwamba anawajua sana wachezaji na potential zao (kama maana ya ukocha ilivyo) kwa hiyo ulikua ni muda wake wa kujidai na kuwa free kwa kutumia mbinu zake na za Enrique anazi integrate ingekua balaa thats why hata kwenye ku contest walipigwa chini watu kibao(kama Sampaoli ,Eusabio etc) wakabakizwa watu wawili kwenye table yeye na Velverde .Next time nitakuambia kwanini alichaguliwa velverde issue ambayo ina connection na kumuenzi Johan CruyffKwanini ulikuwa unampenda Unzue?
Sevilla wanagombea kucheza UEFA so Madrid wana bonge la mtiti leo however performace yao currently sio nzuriLeo anareigns supreme. Jamaa wana wanaweza drop points leo.
Nasikia Pique hatacheza. Maron atakipiga. Huyu dogo simsomi fresh. Vipi kwenye kupanga attack yupo vizuri.Sevilla wanagombea kucheza UEFA so Madrid wana bonge la mtiti leo however performace yao currently sio nzuri
Seriously?Maron atacheza?Dogo ni mtamu balaa then ni lamasia kindaki ndaki utamuona kuna siku aliwahi kucheza match ya CDR ,yaani huyu dogo ni wa kupewa match nyingi za team kubwa ili apate uzoefu mark my word ,ni potential sana huyu dogo namfuatiliaNasikia Pique hatacheza. Maron atakipiga. Huyu dogo simsomi fresh. Vipi kwenye kupanga attack yupo vizuri.
Mbona nimesikia kwamba Unzue- anahusika sana na ni responsible kwa goals tunazo leak huko nyuma!!!Mimi japo Enrique anaondoka i have been the last kum disappont achievements zake ,he is still the best coach kwa mantiki hiyo basi nyuma ya mafanikio yake alikuwepo Juan Unzue ambaye ni bingwa wa tactics ambazo Enrique mwenyewe alikua anazikubali akizi introduce and killer punch ni kwamba anawajua sana wachezaji na potential zao (kama maana ya ukocha ilivyo) kwa hiyo ulikua ni muda wake wa kujidai na kuwa free kwa kutumia mbinu zake na za Enrique anazi integrate ingekua balaa thats why hata kwenye ku contest walipigwa chini watu kibao(kama Sampaoli ,Eusabio etc) wakabakizwa watu wawili kwenye table yeye na Velverde .Next time nitakuambia kwanini alichaguliwa velverde issue ambayo ina connection na kumuenzi Johan Cruyff
Namimi nimesikia cules wakilalamika hivyo. Wanasema sometimes Lucho alikuwa anamuachua usukani lakini anaishia kuboronga. Nimesikia pia juzi kati alizinguana na Neymar. Neymar akasema akibaki basi yeye ataondoka.Mbona nimesikia kwamba Unzue- anahusika sana na ni responsible kwa goals tunazo leak huko nyuma!!!
What i know unzue ni mfuasi ws attack attack ....so moja ya weakness ya style hii ni weak defence kama wachezaji watakaohusika ku defend wasipokua na displine ya hali ya juu so tungesaji RB inayokimbia na mifielder kijana tungekua na kikosi kikali sana kwa kujaza midfielders wengi ndio solutionMbona nimesikia kwamba Unzue- anahusika sana na ni responsible kwa goals tunazo leak huko nyuma!!!
goal la Neymar- ni MSN tu kwenye world soccer hawana greed- Suarez could have easily scored2-0 goli za neymar na suarez
hako kagoli ndiyo kaliwaamsha. FT 4-1. ngoma imekuwa nzito, sijui tulikosea wapi?Mhh 2-1 naona barca wanasinzia