FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Wakuu hodi humu ndani! Samahani nilikuwa nimelala ndio naamka sasa hivi. Eti Juventus hawajabeba kombe letu kutoka kwa Madrid?
 
Kwani nani kawalazimisha kutoa hongera, eti trophy in Cardiff, kwani ndio linavyoitwa? Badala ya kusema 12th UEFA Champions League, eti the trophy in Cardiff, Bartomew bhana!


 
Doenst Matter if Madrid Won The Trophy! We still Love Barca,
Because to us Barcelona is not only the Football Team Its our Religion!
[HASHTAG]#ForcaBarca[/HASHTAG]!
Code:
cc: TheMason
 
Doenst Matter if Madrid Won The Trophy! We still Love Barca,
Because to us Barcelona is not only the Football Team Its our Religion!
[HASHTAG]#ForcaBarca[/HASHTAG]!
Code:
cc: TheMason


Forza Malaga, wait Forza Juve. No Buffon deserves Ballon d'Or
 
achana nao mkuu hao wooote wameshuhudia UEFA mara 3 ila ni BARCELONA pekee tumeshuhudia UEFA mara 4 kwenye karne hii SASA KWA NINI TUSIWE TIMU BORA


Mkuu kunywa maji. Back to back, yaani ni Real Madrid pekee wanaoweza kufanya hiyo kitu. Na kuna mikakati mwakani kuchukua tena iwe Hat trick si unajua wazee wa marekodi.
 
Doenst Matter if Madrid Won The Trophy! We still Love Barca,
Because to us Barcelona is not only the Football Team Its our Religion!
[HASHTAG]#ForcaBarca[/HASHTAG]!
Code:
cc: TheMason
Umewamaliza tayari bingwa wanataka tuhame Barca kisa wao wameshinda UEFA?its a joke
 
Mkuu kunywa maji. Back to back, yaani ni Real Madrid pekee wanaoweza kufanya hiyo kitu. Na kuna mikakati mwakani kuchukua tena iwe Hat trick si unajua wazee wa marekodi.
You dont have guts to do it mkuu ,kwa team gani pale?for me age yenu inaisha so mtasubiri miaka kadhaa kunyanyau laliga tena na UEFA tena
We back on business nxt season [HASHTAG]#ForcaBarca[/HASHTAG]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…