FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hahaaaaaaaaaaa........................It's the best team in Europe bana....

As for now the best team in the world is Inter Milan,The World Club Champions(wliwafunga TP Mazembe Englebert 3-0 kwenye final ya World Club Championship)
Babu we mbishi sana..Stop hatin' on Barca, they are simply awesome.
 
ebu tuamie thread la wenye presha man u kule...hahahaa
raha niliyo nayo
 
habaki mtu hapa kwa sababu kila mtu katoa yake........he he


Hivi wewe P long term team- relatnship unashabikia timu gani ???? teh teh teh teh
Mana hii leo barca kwangu ilikuwa ni mahusiano ya muda mfupi nimeishabikia lakini napendaga washika bunduki yaani the gunners.
 
timu za uingereza hazina ubavu na haziiwezi barcelona,mwaka 2006 Arsena alichapwa 2 - 1,mwaka 2009 Barca alimchapa Man u 2 - 0,na mwaka huu mei 28 Barcelona amemchapa Man u 3 - 1.BARCELONA MABINGWA.
 
Pole sana BJ naona nyumba ndogo yako imepindua nyumba kubwa leo lol.

Umeona eeh!...yani pinduo la hali ya juu!!..ila bado nyumba kubwa ni manure, Barca anabaki ndogo japokuwa mambo yake makubwa..

halafu sijui why Barca wamekata neti/nyavu za goli au ' souvenier' mana walikuwa bize golini wakikata nyavu..
 
Haya Mkuu...lakini sidhani kama Inter wanaweza kukipiga na BARCA na kushinda katika mchapo huo.

Ndio maana nikasema 'As for now'
Kumbuka Inter(ya Mourinho) waliwapa kichapo Barca nyumbani na ugenini kwenye semis za last season kabla ya kuichapa Bayern Munich kwenye final.....All in all Barca ni wazuri sana this season,wanacheza soka la kuvutia hasa,na wanastahili mafanikio yote waliyoyapata msimu huu....
 
only arsenal ndio alifanikiwa kumfunga barca katika english soil... Good nyt! Manutd fans! ...

Unajua mpira kweli wewe ,Man U na Chelsea wamewahi kumfunga Barca hapo England
 
Hivi wewe P long term team- relatnship unashabikia timu gani ???? teh teh teh teh
Mana hii leo barca kwangu ilikuwa ni mahusiano ya muda mfupi nimeishabikia lakini napendaga washika bunduki yaani the gunners.

same here ofcz.......man u bana dah....
 
Babu we mbishi sana..Stop hatin' on Barca, they are simply awesome.

I really hate 'em babu.....Wivu sina ila roho inauma.....Lols

Btw Hongera kwa ubingwa wa Rossoneri..................Nerazzurri ndio klabu Bingwa ya Dunia mtani
 
Unajua mpira kweli wewe ,Man U na Chelsea wamewahi kumfunga Barca hapo England

Pole kwa kichapo(cha mbwa mwizi) mtani........Kufungwa 3-1 Wembley(nyumbani) nia aibu,na inaumaaaaaa
 

Bala kucheza na Barca home and away ni nafuu kuliko kucheza fainali,advantage ya home and away unaweza kupaki basi game moja ukamfunga kwa kumvizia ndio maana akikutana na timu kama Chelsea,ManU,Inter & Milan kwenye home and away anapata tabu but Barcelona ya kizazi cha kina XAVI ukikutana nayo fainali basi ushafungwa
 
Zile champagne zenu mlizo ficha zitakuwa chungu kama shubiri mkilazimisha kunywa leo.subirini kwanza maumivu ya ishe ndio mnywe; weekend ijayo.
Mmmh! Hivi kuna wabongo wanaumia roho kwa kushabikia timu za wazungu? Ni afadhali kuwa mshabiki wa kawaida (passive fun) wa club za ulayaa, na ukawa mshabiki mkereketwa (active fun) wa timu ya hapo bongo. Msipozitia moyo timu zenu za nyumbani nani atazilitia?
 
hehehe walifkiri hii ni Carling cup? wazembe Manu bana! Aisee yaani leo kama kuna mdada anajiskia kunichuna alete account number tu.

Tamaa mbaya Kloro,ina maana M na P hawakutoshi,unajua nimepiga chini offer ya kusherekea na Barca.....Messi akiwa mualikaji kwa ajili yako???? he he heeeeee natafuta mtu wa kumpunguzia raha zimezidi hadi natetemeka kama Ferguson.....kwaherini kwa leo.....tchao!!
 

...jamani mwenzenu ndio naamka, vipi? matokeo? he he he!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…