View attachment 541714
Sometimes kwenye sports hela sio kila kitu huu ni mfano mzuri sana wa hawa jamaa zetu Madrid simply the are wasting money so jamani tulieni tuone Velverde atatufanyia nini so long as we still have best players
Tunaomba basi utuambie wewe walilipa shiling ngapi lakini kwa mshangao dau walilolipa Madrid kwa hayo magarasa unalikubaliOnly fools can agree that Barca paid only €57M for Neymar. Labda wakati wa scandal ya usajili wa Neymar ulikuwa bado hujaanza kuwa shabiki wa Barcelona
Tunaomba basi utuambie wewe walilipa shiling ngapi lakini kwa mshangao dau walilolipa Madrid kwa hayo magarasa unalikubali
Mkuu trend inachange now Real Madrid imekuwa Barca na Barca imekuwa Real Madrid,timu wanayotengeneza Real Madrid ita-dominate kwa muda mrefu sana kama Perez akimpa nafasi Zidane.The worst thing ni kuwa management ya Barca imekaa inazubaa kumbuka Messi,Iniesta,Pique,Suarez wameingia kwenye 30s while Real Madrid ukiacha wazee kina CR7,Ramos,Mondric,Benzema wana vijana kina Varane,Hernandez,Asensio,Isco,Casemiro,Carvajal,MorataSometimes kuna watu wanachekesha sana in 10 years Barca amechukua laliga mara 7 ,Madrid mara 2 tu ila wanaona dunia ni ya kwao let me tell your what Barca is doing in Spain in completely dominance, we hushangai Barca ya last season inaitwa mbaya ila Madrid amechukua kikombe kwenye match ya mwisho basi definition ya ubovu wa Barca ni spectacular
Madrid ina shine vipi bila Christiano?acha kujitia uchiziMkuu trend inachange now Real Madrid imekuwa Barca na Barca imekuwa Real Madrid,timu wanayotengeneza Real Madrid ita-dominate kwa muda mrefu sana kama Perez akimpa nafasi Zidane.The worst thing ni kuwa management ya Barca imekaa inazubaa kumbuka Messi,Iniesta,Pique,Suarez wameingia kwenye 30s while Real Madrid ukiacha wazee kina CR7,Ramos,Mondric,Benzema wana vijana kina Varane,Hernandez,Asensio,Isco,Casemiro,Carvajal,Morata
Champions league mlilinunua lile kama mnabisha mtaona tena kama haijapiga miaka 10 trophlessUnaongea nonsense. Hayo magalasa yamechukua Champions League back to back.
Champions league mlilinunua lile kama mnabisha mtaona tena kama haijapiga miaka 10 trophless
Wewe bana,Madrid ata dominate kweli,dynamics za modern football zitaruhusu?? la liga umechukua kwa a whisker leo ushajiona complete package.Barca akirekebisha kwenye flanks-utakabidhi point 6 na sio 4 kama season iliyokwisha. Coronation ya Messi kama mfalme wenu SPAIN, itafanyika kwa mara ya piliMkuu trend inachange now Real Madrid imekuwa Barca na Barca imekuwa Real Madrid,timu wanayotengeneza Real Madrid ita-dominate kwa muda mrefu sana kama Perez akimpa nafasi Zidane.The worst thing ni kuwa management ya Barca imekaa inazubaa kumbuka Messi,Iniesta,Pique,Suarez wameingia kwenye 30s while Real Madrid ukiacha wazee kina CR7,Ramos,Mondric,Benzema wana vijana kina Varane,Hernandez,Asensio,Isco,Casemiro,Carvajal,Morata
Atakuambia kuna Bale paleMadrid ina shine vipi bila Christiano?acha kujitia uchizi
Nani alikudanganya mimi mshabiki wa Madrid ?Wewe bana,Madrid ata dominate kweli,dynamics za modern football zitaruhusu?? la liga umechukua kwa a whisker leo ushajiona complete package.Barca akirekebisha kwenye flanks-utakabidhi point 6 na sio 4 kama season iliyokwisha. Coronation ya Messi kama mfalme wenu SPAIN, itafanyika kwa mara ya pili
yaani Barca mbaya imechukua points 4 toka RM. Ikikosa laliga kwa point tatu.kwa hiyo tukiwa bora ni balaa kubwa. Ngoja tuongeze MF tuwaonyeshe kazi mwezi ujao. Bado kama mwezi tu.Sometimes kuna watu wanachekesha sana in 10 years Barca amechukua laliga mara 7 ,Madrid mara 2 tu ila wanaona dunia ni ya kwao let me tell your what Barca is doing in Spain in completely dominance, we hushangai Barca ya last season inaitwa mbaya ila Madrid amechukua kikombe kwenye match ya mwisho basi definition ya ubovu wa Barca ni spectacular
Madrid amechukua kikombe kwenye match ya mwisho basi definition ya ubovu wa Barca ni spectacular