Kwahiyo si ungepita tu kimya Zinade mchezaji bondia hasira zakujiripua
Picha inaongea ha ha ha kama Ramos nadhani kaonewa sana
Sio tu kudhalirishwa hadi kurambishwa nyasi
View attachment 554358
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi ndo striker wenu Ansensio?What about Pique na dogo Asensio, au unataka tukuwekee picha?
Siku hizi ndo striker wenu Ansensio?
Au yuko kwenye kundi la watu wenye successful dribbles
Unajua maana ya shambulio la haraka, linakupata ukiwa unpreparedAsensio ni Real Madrid player kwani ulikuwa hujui? But that goal was amazing, he made Pique look like mediocre defender. But we don't talk about it because we still have a lot to celebrate
Ha ha you are funny we back in businessAsensio ni Real Madrid player kwani ulikuwa hujui? But that goal was amazing, he made Pique look like mediocre defender. But we don't talk about it because we still have a lot to celebrate
kabisa mkuu treble naiona ileeMwezi september nitatangaza nani atakua bingwa Laliga na UEFA ingawa dalili za Barca kuchukua treble 2017-2018 naziona
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe source,hivi medical check up inawezekana bila ruhusa ya Barca?????Habari nlizozipata hivi punde ni kwamba Neymar anajiandaa kwenda kwenye Medical Checkup PSG
my friend achana na hizo habari neymar bado anamkataba na barc how come afanyiwe medical checkup?Habari nlizozipata hivi punde ni kwamba Neymar anajiandaa kwenda kwenye Medical Checkup PSG
Hamuongelei kwasababu mnajua ni tukio la kuotea halitokei mara kwa mara. Lakini watu waAsensio ni Real Madrid player kwani ulikuwa hujui? But that goal was amazing, he made Pique look like mediocre defender. But we don't talk about it because we still have a lot to celebrate
Namimi nimeona kwenye barcablaugranes. Kesho anakutana na mabosi wa P$G qatar kufanya medical checkup.Tupe source,hivi medical check up inawezekana bila ruhusa ya Barca?????
Moneymar"Neymar must be going to PSG for the money and not the legacy.Barcelona the high priestess of the beautifull game,the envy of the world-a team that set out to pass opponents to death and then stick the knife in for fun. How exactly does one leave this club??" limesema the Sun la UK