FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Na Gerald pique akalamba udongo naye
fb6fa2937c24beeccff8fd857a6d744f.jpg
a18d6e902fc32e2b91cc8c7e7934af30.jpg
2853f5c06627779947a6ddc53714d772.jpg
8b710ac4e58226f3dd36d623f90661c8.jpg
e0b9e1301e0d48d523b7658f77384eff.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu team imeshawasili Barcelona watakua na mapumziko ya siku mbili kuanzia jana then mazoezi kama kawaida kwa ajili ya supercup tarehe 13-08 Vs Madrid
Neymar yeye alibakia Miami anapanda ndege kuelekea China kwenye promotion event ya Barcelona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi ndo striker wenu Ansensio?
Au yuko kwenye kundi la watu wenye successful dribbles


Asensio ni Real Madrid player kwani ulikuwa hujui? But that goal was amazing, he made Pique look like mediocre defender. But we don't talk about it because we still have a lot to celebrate
 
Asensio ni Real Madrid player kwani ulikuwa hujui? But that goal was amazing, he made Pique look like mediocre defender. But we don't talk about it because we still have a lot to celebrate
Ha ha you are funny we back in business
Mwaka wa treble kwa Barca tunauona mapema...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari nlizozipata hivi punde ni kwamba Neymar anajiandaa kwenda kwenye Medical Checkup PSG
 
Habari nlizozipata hivi punde ni kwamba Neymar anajiandaa kwenda kwenye Medical Checkup PSG
my friend achana na hizo habari neymar bado anamkataba na barc how come afanyiwe medical checkup?
neymar yupo china kwaajili ya kutangaza brand ya barc

ni kweli neymar ataondoka lakini sio leo
 
Jamani hii nutmeg washabiki wa Asia wamei brand kama "Boatenged "
Nimecheka sana jinsi babu Ramos anavyohangaika na Messi kitambo sana na bado hajamsoma
 
"Neymar must be going to PSG for the money and not the legacy.Barcelona the high priestess of the beautifull game,the envy of the world-a team that set out to pass opponents to death and then stick the knife in for fun. How exactly does one leave this club??" limesema the Sun la UK
 
Asensio ni Real Madrid player kwani ulikuwa hujui? But that goal was amazing, he made Pique look like mediocre defender. But we don't talk about it because we still have a lot to celebrate
Hamuongelei kwasababu mnajua ni tukio la kuotea halitokei mara kwa mara. Lakini watu wa
Tupe source,hivi medical check up inawezekana bila ruhusa ya Barca?????
Namimi nimeona kwenye barcablaugranes. Kesho anakutana na mabosi wa P$G qatar kufanya medical checkup.
 
"Neymar must be going to PSG for the money and not the legacy.Barcelona the high priestess of the beautifull game,the envy of the world-a team that set out to pass opponents to death and then stick the knife in for fun. How exactly does one leave this club??" limesema the Sun la UK
Moneymar
 
Back
Top Bottom