FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Stil kwetu ni brief kama pesa ya Neymer ikileta wachezaji 2 ambao ni classic so i trust team yetu itafanya vzr sana pasipo matatizo maana barcelona inajengwa na team work na cyo indivudualism

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunataka tufanye usajili wa kufuru vilevile mazungumzo yameshafunguliwa na Juventus Dyabala is loading
 
kweli mpira siku hizi hauna thamani yani dembele anunuliwe kwa paund 100 si bora hizo hela wakazitupe chooni
 
Tutakuwa tumelamba dume.
 
Tutakuwa tumelamba dume.
Red Giant deal la Coutinho limeshakamilika atatambulishwa jumatatu match ya charity Barcelona na Champecoense kwenye kombe la Joan Gamper Camp Nou tarehe 07/08/2017
Magazeti ya kesho Spain nadhani yataanza kuvujisha habari uongozi wa Barca walitaka iwe underground
 
Hizi ni habari njema sana. Kuondoka kwa Neymar inaweza kuwa ni blessing in disguise.
 
Hizi ni habari njema sana. Kuondoka kwa Neymar inaweza kuwa ni blessing in disguise.
Kuna blessings nyingi sana mimi msimamo wangu uko pale pale kuna best replacement, next Dembele au Dyabala wataingizwa kwenye deal au Mbape ni short kabla mwezi huu wa tisa haujaisha (transfer window) kuna signing ya pili inakuja ,I needed so much attacking midfield design za Coutinho
Na usajiri wote unaangalia future tunachukua watoto !!strategic transfer
 
Gimnastic Vs Barca 1: 1. Barca ilichezesha team B yote.


JPM KAMATA WEZI
 
Hii thread bana,sasa tunarushana roho,hujui ukweli ni upi na gossip ni ipi,tuhurumieni jamani sisi wengine tuna matatizo ya moyo
Hautakiwi ufe moyo wakati uko Barca na Qatar wametema mpunga transfer kwa Coutinho tayari ,very soon Dyabala au Dembele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…