huyo paulinho sijui anafata nini ya huu uongozi wa kisengerema kwelidaaaahhh paulinho utakuwa kama usajili wa Andres Gomes.Kitu ki1 ambacho barca hawakielewi usajili wa nguvu utaua vipaji vyote vya Lamasia. Seergio Roberto, Denis suarez, Callejon wanatakiwa wapewe nafasi ili kukuza na kuonyesha makali yao