FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

To be honest issues za Dembele na Coutinho zinazidi kuwa complicated
Tatizo team nyingi zinajua tuna fedha ndefu
Kwa mfano Dembele ni wa kununuliwa €150M?kama sio uchizi nini bora dadake tutulie tu na hela zetu ,hata huyo Coutinho from €45M to 120????
Maamuzi magumu yanahitajika
Huu ni mda wa kuigekuia Lamasia, mchezaji kama Dembele alinunuliwa kwa €15mil, half leo hii auzwe zaid ya €100mil, uwezo wake hauendani na thaman ya hela inayotakiwa, tatzo si pesa tatzo ni kwamba usajili wa NEYMAR kwenda psg umeathr usajili kwa kiwango kikubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni mda wa kuigekuia Lamasia, mchezaji kama Dembele alinunuliwa kwa €15mil, half leo hii auzwe zaid ya €100mil, uwezo wake hauendani na thaman ya hela inayotakiwa, tatzo si pesa tatzo ni kwamba usajili wa NEYMAR kwenda psg umeathr usajili kwa kiwango kikubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dembele hata mikiki ya UEFA hajaijua vizuri

Maamuzi magumu yakuigeukia Lamasia yanatakiwa tena sasa hivi Velverde ameanza na mfumo wa Tick Tacka na pressuring game ita to favor sana
Hata dream team ya 2007-2011 ilijengwa na lamasia Cantera graduates
 
Dogo fighter sana. Sema spana mkononi. Msimu ulioisha katupia kama goli tano. Ni mashine sema majeruhi sana.
Kuna dogo Munir kwann asirudishwe pale kuliko kumsajili Dembele, maana naamini huyo dogo akipewa nafasi anapiga fresh kwa nafasi ya winger!

sent from Sanduku la Posta using JamiiForums mobile app
 
Thiago Alcantara hauzwi na hatakubali kurudi
Kosa kubwa sana Barca walilifanya kumuuza huyo dogo ndio alikuwa mrithi sahihi wa Xavi

sent from Sanduku la Posta using JamiiForums mobile app
 
Ousmane Dembele ni mchezaj mzuri sana, nilipenda sana aje Barcelona tangu zamani. Yeye ni replica ya Neymar na hana makuu mengi kama alivyokuwa Neymar, umri pia mdogo.

Tatizo lililopo ni nature ya mkataba wake. Dortmund wakimuuza watatakiwa kuipa timu yake ya awali (Marseille) asilimia 25 (robo) ya bei ya mauzo, ndo maana wanataja bei kubwa

BTW Barcelona wawape hiyo €135m, ila waachane na Coutinho, maana naona yeye ni mzuri kuliko Coutinho wala Dybala, atafaa sana akicheza namba moja na Deloufeu

Nadhani ulikua unamaanisha Rennes
 
Yani hii board ya barca siwaamini kabisa yani wapo wapo kama misukule tu
Board ya Barca inafanya sahihi kabisa,soko limekuwa inflated.Barca haitakiwi ku panic-haiwezekani itumike hela nyingi kwa players ambao we don't even know wata fit katika system.Trust me high pressing ya huyu coach will surprise all doubters.
 
Board ya Barca inafanya sahihi kabisa,soko limekuwa inflated.Barca haitakiwi ku panic-haiwezekani itumike hela nyingi kwa players ambao we don't even know wata fit katika system.Trust me high pressing ya huyu coach will surprise all doubters.
Ni possible kabisa ikawa suprise kwa wengi wetu....ngoja tusubiri....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Board ya Barca inafanya sahihi kabisa,soko limekuwa inflated.Barca haitakiwi ku panic-haiwezekani itumike hela nyingi kwa players ambao we don't even know wata fit katika system.Trust me high pressing ya huyu coach will surprise all doubters.
Mimi naamini kikosi kikichopo Kinaweza kuchukua vikombe vyote vikubwa msimu huu.
 
QuickMemo%2B_2017-08-11-14-28-26.png
dogo ameamua kuja mwenyew

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom