Atkins Mendel
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 616
- 755
Huu ni mda wa kuigekuia Lamasia, mchezaji kama Dembele alinunuliwa kwa €15mil, half leo hii auzwe zaid ya €100mil, uwezo wake hauendani na thaman ya hela inayotakiwa, tatzo si pesa tatzo ni kwamba usajili wa NEYMAR kwenda psg umeathr usajili kwa kiwango kikubwa.To be honest issues za Dembele na Coutinho zinazidi kuwa complicated
Tatizo team nyingi zinajua tuna fedha ndefu
Kwa mfano Dembele ni wa kununuliwa €150M?kama sio uchizi nini bora dadake tutulie tu na hela zetu ,hata huyo Coutinho from €45M to 120????
Maamuzi magumu yanahitajika
Dembele hata mikiki ya UEFA hajaijua vizuriHuu ni mda wa kuigekuia Lamasia, mchezaji kama Dembele alinunuliwa kwa €15mil, half leo hii auzwe zaid ya €100mil, uwezo wake hauendani na thaman ya hela inayotakiwa, tatzo si pesa tatzo ni kwamba usajili wa NEYMAR kwenda psg umeathr usajili kwa kiwango kikubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo fighter sana. Sema spana mkononi. Msimu ulioisha katupia kama goli tano. Ni mashine sema majeruhi sana.Mkuu dhamb nyingne tutakayofanya n kumuuza rafinhna... Barca acfanye upuuz huo kabsa .... Rafihna ameshaanza kukomaa... So n mda wa kupewa nafac uwanjan
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna dogo Munir kwann asirudishwe pale kuliko kumsajili Dembele, maana naamini huyo dogo akipewa nafasi anapiga fresh kwa nafasi ya winger!Dogo fighter sana. Sema spana mkononi. Msimu ulioisha katupia kama goli tano. Ni mashine sema majeruhi sana.
Kosa kubwa sana Barca walilifanya kumuuza huyo dogo ndio alikuwa mrithi sahihi wa XaviThiago Alcantara hauzwi na hatakubali kurudi
Ousmane Dembele ni mchezaj mzuri sana, nilipenda sana aje Barcelona tangu zamani. Yeye ni replica ya Neymar na hana makuu mengi kama alivyokuwa Neymar, umri pia mdogo.
Tatizo lililopo ni nature ya mkataba wake. Dortmund wakimuuza watatakiwa kuipa timu yake ya awali (Marseille) asilimia 25 (robo) ya bei ya mauzo, ndo maana wanataja bei kubwa
BTW Barcelona wawape hiyo €135m, ila waachane na Coutinho, maana naona yeye ni mzuri kuliko Coutinho wala Dybala, atafaa sana akicheza namba moja na Deloufeu
Board ya Barca inafanya sahihi kabisa,soko limekuwa inflated.Barca haitakiwi ku panic-haiwezekani itumike hela nyingi kwa players ambao we don't even know wata fit katika system.Trust me high pressing ya huyu coach will surprise all doubters.Yani hii board ya barca siwaamini kabisa yani wapo wapo kama misukule tu
Wabaki nae tu mwishowe tumechoka na hizi romoursRASMI: Liverpool hawamuuzi Coutinyo
Ni possible kabisa ikawa suprise kwa wengi wetu....ngoja tusubiri....Board ya Barca inafanya sahihi kabisa,soko limekuwa inflated.Barca haitakiwi ku panic-haiwezekani itumike hela nyingi kwa players ambao we don't even know wata fit katika system.Trust me high pressing ya huyu coach will surprise all doubters.
Tukubali,tusikubali we were not prepared na wala hatukujua Neymar will jump ship-had we known before haya matatizo yasingekuwepo- Panic buy will only worsen the situation
Mimi naamini kikosi kikichopo Kinaweza kuchukua vikombe vyote vikubwa msimu huu.Board ya Barca inafanya sahihi kabisa,soko limekuwa inflated.Barca haitakiwi ku panic-haiwezekani itumike hela nyingi kwa players ambao we don't even know wata fit katika system.Trust me high pressing ya huyu coach will surprise all doubters.
bora afanye mwenyewe tumechoka sasa