Asked about Coutinho’s transfer request, which was emailed to Michael Edwards, Liverpool’s sporting director, Klopp said: “I didn’t get it but I can say something that is maybe more important. As a manager of a football club I have bosses, and if bosses decide, for example, just in general, if we sell a player or we don’t sell him, then I have to accept it. I cannot say anything about it [the transfer request]. I work with the players I have – that is what I’m always doing.”
Club hazikuwasiliana kabisa, neymar yeye ndio alivunja mkataba na sisi na kuwa free playerPaulinho Sio Level Za Barca Nilitegemea Dili La Neymar Marco Verat Angekuwemo Mana Anapenda Kwenda Barca
Saa tano usiku?hivi mechi leo saa ngapi na madrid kwa masaa yetu ya bongo?
Na iwe ivoBarcelona wanaandaa ofa mpya kwa ajili ya kiungo wa Liverpool Philippe Coutinho yenye thamani ya paundi milioni 100, kwa mujibu wa Daily Express .
Mkuu bado nimekereka Sana na huu usajili,barca sio timu ya kusajili wachezaji wa ajabu ajabu,why walimuacha tiago,Sanchez,na sasa neymar?then unagangaika kusajili mazee?viungo wakabaji wapi wengi tu,Vidal artuto mwenyewe anataka kuondoka bayern
Ni kweli usajili ni mbovu ila tuisapoti ivoivo tuMkuu bado nimekereka Sana na huu usajili,barca sio timu ya kusajili wachezaji wa ajabu ajabu,why walimuacha tiago,Sanchez,na sasa neymar?then unagangaika kusajili mazee?viungo wakabaji wapi wengi tu,Vidal artuto mwenyewe anataka kuondoka bayern
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu lets wait this tonyt match tutaona potential ya team ikojeMkuu bado nimekereka Sana na huu usajili,barca sio timu ya kusajili wachezaji wa ajabu ajabu,why walimuacha tiago,Sanchez,na sasa neymar?then unagangaika kusajili mazee?viungo wakabaji wapi wengi tu,Vidal artuto mwenyewe anataka kuondoka bayern
Sent using Jamii Forums mobile app
Barca tuna magarasa mengi sana pale yameachwa na Enrique, yaan tunakuwa kama Arsenal dah!Teh teh teh...m kama shabiki wa fcb, sometimes hua nafikiri kisha naishi kucheka kuhusu usajiri unaofanywa na hii club. Usajiri kama wa arda turan, homas vamaleen na huu wa ss wa paulinho. Siuoni umuhimu wowote wa kumsajiri poulinho (29) kwa hela hio, na tena kwa kuzingatia anacheza midfield, sehem ambayo ina wachezaj wakutosha.
Kwa maoni yangu. Arda turan na denis suarez wangeuzwa then akatafutwa mido mwenye caliber kama ya verrati. Kimsing ada turan na denis suarez wameflop.
Kama kawaida. Tatu mbili. Ila wanaweza wasipaye hizo mbili.leo ngapi tunawapiga hao madrid
Hii imeshakataliwaga mda sanaBarcelona wanaandaa ofa mpya kwa ajili ya kiungo wa Liverpool Philippe Coutinho yenye thamani ya paundi milioni 100, kwa mujibu wa Daily Express .