Poleni wakuu..me ni shabiki wa UNITED na MADRID ila kitendo cha RAMOS alichomfanyia MESSI ni UTOTO wa Kijinga..sijapenda kabisa yan.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii huitwa kujikaza kisabuni eti??Madrid hiko ndicho kikombe chenu cha mwisho mwaka huu mkae mkijua
Hamtakiona kikombe chochote hadi 2020
Semedo bonge la Fullback. Marcelo hajakohoa.
Sema yote,ila Barca inamiss kitu kimoja tu nacho kinaitwa Neymar...Kuna watu wachanga sana kwenye mpira yaani inakuaje unaitaja Barca then Neymar wakati hata kwenye ma legend 100 wa Barca hayupo,kama mlikua mnamtaka yuko free PSG mchukueni
I love Barca no matter what
Nakuunga mkono kabisa. Gomes bado mzitoGalasa Aleix Vidal nilisikia wanamuhitaji AS Roma huu ndio muda wakutimua ,about Gomes Paulinho anakuja so muda wakusepa ili S Roberto na Carlos Arena apate muda mwingi wakucheza kumbuka Samper anaenda kwa mkopo kwa ajili yako ,Delouf jiandae next season urudishwe kwenye mkopo
Suarez na Terstegen wakate uzito gym
Two signing of key players left and right to drop the bomb this week
Team yetu ni kubwa hatujazoea unyonge
We gonna come back so soon
We ni mchele hata kauli zako tu zinajitosheleza ,kalia mchanga ukisugue
Poleni wakuu..me ni shabiki wa UNITED na MADRID ila kitendo cha RAMOS alichomfanyia MESSI ni UTOTO wa Kijinga..sijapenda kabisa yan.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahaaaah...Madrid wameshakabidhiwa kikombe chao cha Aluminium
Ha ha ha kumbe ndio maana Barca hawakua na motivation nacho
Babu umefika mjini 2014 utasimulia nini zaidi ya NeymarSema yote,ila Barca inamiss kitu kimoja tu nacho kinaitwa Neymar...
Msimu huu mtapigwa kama MBWA..!
Ni kweli aisee..ile ni "insult" kabisa yan..La Liga kuna upendeleo na kuogopana, kuna vitu vinafanywa uwanjani hadi unashangaa. Jambo kama hilo la Ramos haliwezi kutokea kwenye Epl, au jambo kama la CR7 kukebehi adhabu aliyopewa haliwezi kutokea kwenye Epl.
Uku wanabebana sana.