FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread



Man huyo mwekundu kama upo karibu nae mpe makofi tu
 
Wadhamini wa barca pale kifuani ndo wanaleta mkosi andamaneni watoleweee
 
Wakati bwana Segura(board member)anasema barcelona wako kwenye hatua za mwisho za kumsajili dembele, uongozi wa Dortmund umejitokeza na kusema mara ya mwisho Barcelona kufanya mawasiliano nao ilikuwa siku tisa (9) zilizopita

Sasa hawa jamaa sijui wanafanya usajili wa kufikirika au la

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ina maana barcelona messi ana kauli kuliko kocha?
 
Mashabiki wa Barca wana nichekesha sana hawataki kukubali kua wamepoteza direction kwa sasa na hakika chombo kinaelekea kuzama.
Barca imeondoka kwenye falsafa zake zile za kuiamini La Masia wanawaza kuziba mapengo kwa kusajili hawa wapenda pesa ambao hawawezi kufia timu tena leo hii wanashangilia Coutinho kuja kumsaidia Iniesta wanasahau wanawapora Liva ipo siku itawekwa pesa ndefu atawakimbia na hawana muda wa kuwazalisha akina Dembele wao wanataka ready made players hawa wakuja hawafundishwi kua Barca ndio kila kitu kwao kama ambavyo Messi,Pique,Iniesta,Xavi and the like wanavyo amini mfano ni Neymar tu maana Barca waliamini mwehu mmoja alietengenezwa Brazil anaweza kua Messi wao baadae leo hadithi imebaki tu,wale wenzao wamezoea kutawala soko miaka yote wanapenda kufuru za sokoni ingawa nao wamepoa kidogo naamini Barca wanatakiwa kuurudia utamaduni wao tofauti na hapo safari ya kurudi nyuma inawahusu
 
Mimi ni shabiki wa Barca,maneno yako machungu ila ndio hali halisi.

Mfano : Wakati barca wanamfuatilia Verrati na kusababisha vurugu zote kule PSG, yupo mwandishi moja wa michezo aliionya Barca juu ya tabia yao ya kurubuni wacheza na kuwasajili. Akasema "huwezi ukaifanyia psg huu uhuni wakati psg wanao uwezo wa ku-activate release clause ya mchezaji yeyote wa Barca", hawakusikia-haikupita week tatu jamaa wakamchukua Neymar tena kwa dharau ya kiwango cha juu.

Solution ya midfield ya Barca ipo pale pale, (Alena na Samper) hawa madogo wanacheza vizuri sana. Kwa wanaokumbuka mechi ya el classical ile ya marekani, kipindi cha kwanza Madrid walituzidi sana kiungo, hatukufurukuta, hadi wakarudisha goals zote mbili, lakini kipindi cha pili waliingia hawa madogo ilipigwa tiki taka ya ukweli sana, Madrid walitafuta mpira kwa torch

(hii kiungo ya gomes, rakitic haiwezi tufikisha popote) Ila kanzu alopigwa gomes na modric jana
 

Paulinho wameshamu introduce
Simjui sana zaidi ya national team lakini characteristically (not practical) anaonekana mtu mwenye great characters na ambitions lets us hope best for him ndio hivyo msala umeshatuangukia
 

Ameshakabidhiwa Audi 7 yake hiyo kwa ajili ya transport na ni sponsors wa club
 

Bad news Suarez atakua nje for 4 weeks alipata injury match ya jana
Nadhani ni fursa kwa Paco Alcacer (lakini kama na uwezo)
Kumbuka Rafinha nae bado haja recover
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…