mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,736
Yeah ila preliminary na verbal agreement yalishafikiwa tayari mwezi July mwanzoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah ila preliminary na verbal agreement yalishafikiwa tayari mwezi July mwanzoni
"Hakuna jezi hata moja ya Paulinho iliyouzwa katika kutangazwa kwake, hakuna shabiki aliyeomba atengenezewe jezi ya Paulinho"
Acha upumbavu wa kuita wehu...wewe ..babako....mamako na ndugu zako ndo wehu
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona kwa kiwango cha sasa cha jamaa hii ni good news.View attachment 568789
Bad news Suarez atakua nje for 4 weeks alipata injury match ya jana
Nadhani ni fursa kwa Paco Alcacer (lakini kama na uwezo)
Kumbuka Rafinha nae bado haja recover
Hapa napinga mashabiki wa barca wengi ni watu wenye akili zetu timamu vichaa na waropokaji wapo Madrid na Manchester united
Mkuu sijakuelewaHapa napinga mashabiki wa barca wengi ni watu wenye akili zetu timamu vichaa na waropokaji wapo Madrid na Manchester united
Idea umepata lakn ya nilichokisema?Mkuu sijakuelewa
Poulinho Ndo Nani Hebu Wekeni Cv Yake
MD moja makini sana wa NT ya brazil na alikuwa akicheza soka la kulipwa huko China.Poulinho Ndo Nani Hebu Wekeni Cv Yake
Heshima kwake Paulinho. God bless him.
Niliisikia hii habari last weekHeshima kwake Paulinho. God bless him.