Hapo umeongea vzri sio kma ulivyokuwaga unasema anakujaGood news:signing Coutinho ni top priority kwa sasa hivi
Robert Fernandes (technical director Barcelona ) imemlazimu ku fly hadi UK ku finalise deal la Coutinho kabla ya jumatatu kutakua na mlio wa paaa either sisi kushindwa moja kwa moja au kushinda hili deal
Muda huo ,huo team imemruhusu Arda Turan kwenda team yoyote kama free transfer
Nadhani scraper kama Paco Alcacer na Gomez wake wangeruhusiwa hivi hivi ,tunasafisha store but young players waachwe aisee
Dimaria simtaki mzeeOur need kabla hata Neyma hajaondoka ni attacking au kwa lugha nyingine offensive midfielder thats why coutinho ni top priority au ikishindikana Angel Dimaria ni option pia ila coutinho ana advantage yakucheza kama winger pia (left)
Hapana tunataka MSDView attachment 574364
Fans wa FCB bara la Asia wame propose wawe wanaitwa hivi
Ni top priority lazima atueHapo umeongea vzri sio kma ulivyokuwaga unasema anakuja
Hana release clause liver wanaweza wakagoma piaNi top priority lazima atue
Kwann asiende ata Leo tuRatiba kuhusu mchezaji wetu mpya Ousamane Dembele:
atafika jiji la Barcelona jumapili na ata be unveiled jumatatu (watamtambulisha)
Unacheza na hela wewe nouma wakiangalia wanaweza kucheza UEFA bila yeye inabidi tu wa sacrificeHana release clause liver wanaweza wakagoma pia
Ngoja tuoneUnacheza na hela wewe nouma wakiangalia wanaweza kucheza UEFA bila yeye inabidi tu wa sacrifice
Hawawezi kum hold tena mchezaji ambaye hata "nafsi imemsuta kuendelea kuichezea liverpool"(spell it in Prof lipumba voice[emoji23][emoji23])Ngoja tuone
Liver wapuuzi sana wanaweka wakakaza ili kukomoaHawawezi kum hold tena mchezaji ambaye hata "nafsi imemsuta kuendelea kuichezea liverpool"(spell it in Prof lipumba voice[emoji23][emoji23])
Ni style za bargaining ili kuongeza dau la mchezaji they are typically capitalist na businessmen siwalaumu kwa hilo ,management kuchelewa ku initiate process za transfer wakati hata last season tuli succum ni weakness sana na imetu cost tukafikia hapoLiver wapuuzi sana wanaweka wakakaza ili kukomoa
Rais wetu uyo jau sanaNi style za bargaining ili kuongeza dau la mchezaji they are typically capitalist na businessmen siwalaumu kwa hilo ,management kuchelewa ku initiate process za transfer wakati hata last season tuli succum ni weakness sana na imetu cost tukafikia hapo
Wale wazee wa Bartemeou out wanapata kitu cha kusema
Ha ha ha bado ila mnipe muda hadi tarehe 31st August wakati nafunga transfer marketRais wetu uyo jau sana
Na humu ile movement ya mwekundu out umeniona?[emoji23]
Watu mamechoka hasa red Giant ndyo leader wa hyo movementHa ha ha bado ila mnipe muda hadi tarehe 31st August wakati nafunga transfer market
Nitawapa mnachokipenda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nitakua naleta tu good news hii week kabla ya jumamosi ijayoWatu mamechoka hasa red Giant ndyo leader wa hyo movement
Mkuu nimemuangia Dembele Dogo ni nyokoNitakua naleta tu good news hii week kabla ya jumamosi ijayo
Luis Suarez amerejea mazoezini baada yakumaliza kwa muda mfupi sana mazoezi ya knee recovery kwenye sandpit (mazoezi ya kukumbia mchangani)
Yaani kama nilivyokadokeza huko nyuma jamaa anajitihada sana hata trainer wake hakutegemea so kesho atakuwepo kwenye pitch
Source😀ailyMail
Mimi binafsi niliangalia clip mara moja ngoja nirudie leo niangalie strength zake na weakness hapo nita draw conclusion yanguMkuu nimemuangia Dembele Dogo ni nyoko
Mcheki hutojutia kuona tumetoa huo mkwanjaMimi binafsi niliangalia clip mara moja ngoja nirudie leo niangalie strength zake na weakness hapo nita draw conclusion yangu
Mimi scouting yetu naiaminia ila tatizo kwenye execute actionsMcheki hutojutia kuona tumetoa huo mkwanja