FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Good news:signing Coutinho ni top priority kwa sasa hivi
Robert Fernandes (technical director Barcelona ) imemlazimu ku fly hadi UK ku finalise deal la Coutinho kabla ya jumatatu kutakua na mlio wa paaa either sisi kushindwa moja kwa moja au kushinda hili deal

Muda huo ,huo team imemruhusu Arda Turan kwenda team yoyote kama free transfer
Nadhani scraper kama Paco Alcacer na Gomez wake wangeruhusiwa hivi hivi ,tunasafisha store but young players waachwe aisee
Hapo umeongea vzri sio kma ulivyokuwaga unasema anakuja
 
Our need kabla hata Neyma hajaondoka ni attacking au kwa lugha nyingine offensive midfielder thats why coutinho ni top priority au ikishindikana Angel Dimaria ni option pia ila coutinho ana advantage yakucheza kama winger pia (left)
Dimaria simtaki mzee
 
Ratiba kuhusu mchezaji wetu mpya Ousamane Dembele:
atafika jiji la Barcelona jumapili na ata be unveiled jumatatu (watamtambulisha)
 
Liver wapuuzi sana wanaweka wakakaza ili kukomoa
Ni style za bargaining ili kuongeza dau la mchezaji they are typically capitalist na businessmen siwalaumu kwa hilo ,management kuchelewa ku initiate process za transfer wakati hata last season tuli succum ni weakness sana na imetu cost tukafikia hapo
Wale wazee wa Bartemeou out wanapata kitu cha kusema
 
Ni style za bargaining ili kuongeza dau la mchezaji they are typically capitalist na businessmen siwalaumu kwa hilo ,management kuchelewa ku initiate process za transfer wakati hata last season tuli succum ni weakness sana na imetu cost tukafikia hapo
Wale wazee wa Bartemeou out wanapata kitu cha kusema
Rais wetu uyo jau sana
Na humu ile movement ya mwekundu out umeniona?[emoji23]
 
Watu mamechoka hasa red Giant ndyo leader wa hyo movement
Nitakua naleta tu good news hii week kabla ya jumamosi ijayo

Luis Suarez amerejea mazoezini baada yakumaliza kwa muda mfupi sana mazoezi ya knee recovery kwenye sandpit (mazoezi ya kukumbia mchangani)

Yaani kama nilivyokadokeza huko nyuma jamaa anajitihada sana hata trainer wake hakutegemea so kesho atakuwepo kwenye pitch
Source😀ailyMail
 
Nitakua naleta tu good news hii week kabla ya jumamosi ijayo

Luis Suarez amerejea mazoezini baada yakumaliza kwa muda mfupi sana mazoezi ya knee recovery kwenye sandpit (mazoezi ya kukumbia mchangani)

Yaani kama nilivyokadokeza huko nyuma jamaa anajitihada sana hata trainer wake hakutegemea so kesho atakuwepo kwenye pitch
Source😀ailyMail
Mkuu nimemuangia Dembele Dogo ni nyoko
 
Back
Top Bottom