Unajua umri wake pia?Dogo mzuri ila sio kwa hela hiyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Wajerumani wamewapiga bei
Kwa lipi?
Achana naye huyoKwa lipi?
Hiko ndicho tusubiriacho zaidi MkuuWapi Coutinho moyo wangu usuzike
sent from Sanduku la Posta using JamiiForums mobile app
Akili ndogoAchana naye huyo
Ugonjwa wa barca ni pengo la Xavi, pengo la Iniesta na CB."Barcelona's new trio is LSD (Lionel, Suarez and Dembele)"
Wamependekeza mfumo huu mpya uitwe LSD....
Kwakweli wamenirudishia tabasamu langu ingawa bado kidogo likamilike....
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu roho inanidunda kwa little magician hakika akitua siku hiyo nitalala chini shemeji yako nikimuacha kitandani peke yake....wale jamaaa tutawapiga nje ndani kwenye ligiHitaji la makodinda limetia about Dembele baadae nitamuongelea kutokana na clips zake ninazozifanyia kazi hapa na historia yake ;dokezo tumepata player anaye fit system
little magician ndio kabali ya madridDembele:
umri :20 (1997)
Height :1.78M
Rate:7.5
Nilichokiona mimi binafsi kwa ousmane Dembele
1.skilful (ana hold mipira)
2.position -anacheza vizuri sana no 7 ila anaweza akapiga no 11 (kama Neymar)
3.stamina (physique ) anayo sana nampa 85% tofauti na Neymar alipofika barca (alikua mwepesi sana)
4.Speed na aggressiveness nampa-90% anakimbia sana jamaa na mpira bila kuusahau nyuma
5.PLay making (goal making) nampa-90% hapa ni pamoja na pass accuracy Fifa wamempa 70%.hasa yuko good kwenye long pass
6.shooting and goal scoring nampa ratio ya 2:1 -hii factor inamtofautisha yeye na Mbappe mfaransa mwenzake hata wanapokua wanacheza national team
So nime conclude jamaa ameletwa kama playmaker ambaye ana kasi sana hasa akicheza right flank na awe anapiga pass za mwisho
For me ni replacement nzuri ya Neymar but we still need offensive midfielder Cort is the best
Vilevile Jean M seri atatufaa hasa kwenye hiyo age yake ya 25 kama mid fielder
lete bwana mdogo mwenye maajabu huyo seri wachukue liverfoolHumu nasubiria kuzitangaza habari za Coutinho tu basi ndani ya masaa 48 yajayo ili nikamilishe ahadi
Kwa ufupi Liverpool wanaogopa Coutinho asije akaenda kwenye media akatangaza nia yake yakuihama team wanajitahidi kila njia kumzuia pia wanamshawishi na ushindi wao wakufuzu UEFA ila Cot nafsi imeshamsuta kuendelea pale tena
Barca wakiongozwa na technical director Robert Fernandez wameenda kumchukua unajua kwa nini?
Barcelona watatoa offer ambayo Liverpool waliitaka mwanzo £150M
Kwahiyo Coutinho its a matter of time tu tayari tumeshamuweka kwenye himaya
Habari za France ni kuwa Jean Seri amepatwa na stress ya mwaka mara baada ya Barcelona kufanya naye makubaliano ya mwanzo then wakamuacha kwenye mataa kwa sababu za kiufundi (technical problem) hii imesababisha hadi asicheze match inayofuata na team yake ya Nice (Usicheze na Barca wamemuacha kwenye mataa)
Scouts wamemwagwa Europe yote tunakamisha transfer
Unajua umri wake pia?
Ha ha hawaachi kutapatapa hivi juzi hawakusema pengo ni Neymar?
Mkuda weweKatika hii lineup umemsahau Paulinho
Subiri dawa ikuingieKatika hii lineup umemsahau Paulinho
Babu usi underestimate wachezaji unaweza kuta Paulinho is better than your monkey Balle .Nyie mbona hamumzungumzii Bale na Benzema vipusa butu vibisa vya madridSubiri dawa ikuingie
wewe jamaa ndio umechanganyikiwa au? au umekosea ku-quote?Babu usi underestimate wachezaji unaweza kuta Paulinho is better than you monkey Balle .Nyie mbona hamumzungumzii Bale na Benzema vipusa butu vibisa vya madrid