NAKEMBETWA
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 3,517
- 3,135
Hakuna mchezaji huwa Naumia kumuona nje ya Barca kama Thiago Alcantara, namkubali sana dogo since day one!Nitafurahi saana Coutinho akija Barca, yaani tungekuwa na Thiago Alcantara, Sergio Busquet na Coutinho pale kati. Ingekuwa ni hatari kwa timu pinzani.
Duh..hapo umechanganya mada alcatara ni kiungo iweje amuachie nafasi neymar ambaye ni winger?Hakuna mchezaji huwa Naumia kumuona nje ya Barca kama Thiago Alcantara, namkubali sana dogo since day one!
Ajabu aliuzwa kumwachia nafasi Neymoney!
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaki William aje kucheza wapi wakati Barca imewasajili Deloufeo na DembeleKwa nini tunamng'ang'ania coutinho ili hali kuna wachezaji kibao tu ambao wana viwango vizuri na bei ni poa? Yaani pesa zote tulizopata kwa Neymar jr ziishie kwa wachezaji wawili tu? Mchezaji kama Williams wa Atletico club ni mzuri kuliko Cou na hana bei kubwa. Pia hawezi kukataa offer ya kuichezea barca.
Huku Amerika ya kusini kuna wachezaji wengi tu wazuri na wanafit kwa soka la kispania. Kuanzia lugha na aina ya mpira. Twende kule hatutakuta. Tusibabaike na majina makubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Update ya Coutinho kabla sijalala:Agent wake atatua jijini Barcelona kesho kuonana na Bartmeau
Kingine:Arda na Douglas licha ya kuruhusiwa kuuzwa kwa free transfer wamegoma kuondoka Barca hadi wapate team ambayo italipa mshahara sawa na wanaoupata Barca
Labda atakua amepitiwa tu ni central midfielder (offensive ) matata sana ambaye alikua mbadala sahihi wa Iniesta au anapiga hata false no 10Duh..hapo umechanganya mada alcatara ni kiungo iweje amuachie nafasi neymar ambaye ni winger?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuonana nae ili iweje?Update ya Coutinho kabla sijalala:Agent wake atatua jijini Barcelona kesho kuonana na Bartmeau
Kingine:Arda na Douglas licha ya kuruhusiwa kuuzwa kwa free transfer wamegoma kuondoka Barca hadi wapate team ambayo italipa mshahara sawa na wanaoupata Barca
Final stage hizo babu we hushangai waligoma weekend hii wamekua walaini kama mkate kwa chai na tukageuza kibao wao mdo wanatufuata (usicheze na fedha)Kuonana nae ili iweje?
Hata Neymar hakuna aliyetegemea atauzwa,watu walikuwa wanabisha hapa hapa jukwaaniJamaa mvivu sana wa kufikiri mtu aliyenunuliwa 100 Euro + auzwe kirahisi kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu walikuwa wamekataa si ni liver na sio meneja wake au sio ivyo?Final stage hizo babu we hushangai waligoma weekend hii wamekua walaini kama mkate kwa chai na tukageuza kibao wao mdo wanatufuata (usicheze na fedha)
Kwaiyo point yako ni ipi hasa?Hata Neymar hakuna aliyetegemea atauzwa,watu walikuwa wanabisha hapa hapa jukwaani
Ha ha kipindi kile nilikua sijakuja huku kwenye thread rasmi ,nakumbuka match ya Bayern Munich 2013 na AC Milan wale kama sikosei tulipita kwa goli la ugenini tena kwakumuingiza Messi wakati anaumwa [emoji23][emoji23] (Messi is a true gift for Barca)mkuu nakusalimia!!!nimemisi sana swaga zako za kumeza zana za kilimo kama mundu shoka jembe na kadhalika!!!
Fabregas ndio alisababisha Thiago kuuzwa sio NeymarHakuna mchezaji huwa Naumia kumuona nje ya Barca kama Thiago Alcantara, namkubali sana dogo since day one!
Ajabu aliuzwa kumwachia nafasi Neymoney!
Sent using Jamii Forums mobile app
Fabregas ndio alisababisha Thiago kuuzwa sio NeymarHakuna mchezaji huwa Naumia kumuona nje ya Barca kama Thiago Alcantara, namkubali sana dogo since day one!
Ajabu aliuzwa kumwachia nafasi Neymoney!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye negotiations ni kama game yakuvuta kamba na selling process (wale waliosoma marketing ) kuna vitu inaonyesha havijakaa sawa inawezekana Liverpool wamehitaji amount ambayo ni ya juu tofauti na bid yetu ,so kutokana na umuhimu wa deal lenyewe inabidi Don mkuu ahusike (what i mean wame to win hawa jamaa kwa kuwa wanajua tunashida naye sana)Sasa mkuu walikuwa wamekataa si ni liver na sio meneja wake au sio ivyo?
Tatizo yule dogo alikuwa na mahaba na pep, binafsi bado ntafurahi nikimuona akirudi. Pia usajili Fabregas na kuondoka kwake sikuelewa kabisa.Hakuna mchezaji huwa Naumia kumuona nje ya Barca kama Thiago Alcantara, namkubali sana dogo since day one!
Ajabu aliuzwa kumwachia nafasi Neymoney!
Sent using Jamii Forums mobile app
Baba yake mdogo yuleTatizo yule dogo alikuwa na mahaba na pep, binafsi bado ntafurahi nikimuona akirudi. Pia usajili Fabregas na kuondoka kwake sikuelewa kabisa.
Deloufeo sio alikuwaga academy ya barcaInaki William aje kucheza wapi wakati Barca imewasajili Deloufeo na Dembele
Kwan uliachaga kuangalia mpira toka yupo academy?Deloufeo sio alikuwaga academy ya barca
shushushu VIP