FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Ha ha kipindi kile nilikua sijakuja huku kwenye thread rasmi ,nakumbuka match ya Bayern Munich 2013 na AC Milan wale kama sikosei tulipita kwa goli la ugenini tena kwakumuingiza Messi wakati anaumwa [emoji23][emoji23] (Messi is a true gift for Barca)
Ilikuwa PSG (away 2-2, Camp Nou 1-1)
 
Sio mbaya, hata hiyo tofauti ya point mbili inatosha kuanzia. Ila ka Asensio kasumbufu

- KANA -
Kuhusu asensio, ninampa muda ili niweze kujiridhisha na kiwango chake, kwa sababu nikifuatilia magoli yake, ni kweli mazuri na anajituma uwanjani lakini yanatokana na uzembe mkubwa sana beki, mfano goal la free kick, defender ameruka huku amejipinda
 
Kuhusu asensio, ninampa muda ili niweze kujiridhisha na kiwango chake, kwa sababu nikifuatilia magoli yake, ni kweli mazuri na anajituma uwanjani lakini yanatokana na uzembe mkubwa sana beki, mfano goal la free kick, defender ameruka huku amejipinda
Na mimi nawaza kama anaweza kudribble na kufunga. Magoli niliyoona. Anasoma position ya kipa kwa mbali na kuachia shoot? Ila kanajiamini, ile freekick ni kama kalijitokeza kupiga. Kanajua nini kanafanya.
 
Updates za Cotinho

Atasainiwa source ni Afrodens Martinez (one of the trusted journalist)
Agent na Board of directors hadi kesho watatoa jibu

Sambamba na hayo Dimaria Angel Barca wanaendelea kum approach atatua pamoja na Jean Seri Michael kutoka Nice France

Kuna mvua ya wachezaji watatu hii week Barcelona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…