Mara paaaaap!!!. 3-0.. Hapana Chezea Hiyo.barca leo wanafungwa mechi ilizoshinda zote za kubahatisha timu vibonde ...leo lazima ale kichapo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Itakuwa Wamemkamata kwenye kura ya maoni ya kudai uhuru wa Catalonia
mwekundu leo upo wapi au watu wasiojulikana wamekuteka
Kwanini wasifanye utaratibu kwamba Barca ibaki kwenye league palepale?Catalonia inataka ijitawale kwa nguvu na FC Barcelona wanaunga mkono!
Sipati picha la liga na Spain bila Barcelona aisee!
Hii kura na ikitokea catalunya wamejitenga itakuwa mbaya sana kwa laliga maan basque nao waliitisha kura kama hii mwaka 2008 ikashindwa mahakamani. Huko ndiko kulikuwa na wale waasi wa ETA. Hawa wakiona katalunya wamefanikiwa nao watalianzisha. Kwahiyo huku zitatoka Barca, espanyol na Girona. Kule basque kuna bilbao, sociedad. Alaves na eibar. Timu 7 hizo. Zitaharibu kabisa ligi. Naombea hao wanaotaka kujitenga washindwe kabisa. jackline 1 tupe nini itakuwa hatma ya Barca huko. Timu yetu pendwa inaweza kufa kiutaniutani hivihivi.Kwanini wasifanye utaratibu kwamba Barca ibaki kwenye league palepale?
Hii nayo itakuwa poa sana. Mbona israel inacheza soka bara la ulaya na iko Asia na hakuna noma.Kwanini wasifanye utaratibu kwamba Barca ibaki kwenye league palepale?
Haya mambo kama Zanzibar,ukiruhusu kura ya kujitoa Wazanzibar watajitoa katika muungano halikhadalika huku hivyo hivyo kura itasababisha wajiondoe- kwa foreigners tunashangaa whats the fuss lakini wenyewe wanataka kujiondoa.Mimi naona serikali ikomae tuu kama ilivyofanya Basqueland-there is too much to loseHii kura na ikitokea catalunya wamejitenga itakuwa mbaya sana kwa laliga maan basque nao waliitisha kura kama hii mwaka 2008 ikashindwa mahakamani. Huko ndiko kulikuwa na wale waasi wa ETA. Hawa wakiona katalunya wamefanikiwa nao watalianzisha. Kwahiyo huku zitatoka Barca, espanyol na Girona. Kule basque kuna bilbao, sociedad. Alaves na eibar. Timu 7 hizo. Zitaharibu kabisa ligi. Naombea hao wanaotaka kujitenga washindwe kabisa. jackline 1 tupe nini itakuwa hatma ya Barca huko. Timu yetu pendwa inaweza kufa kiutaniutani hivihivi.
Ni kweli, lakini spain siasa zimeingia sana na kuathiri mpira na timu.Their political confricts is not our business, lakini ningefurahi kuona Barca ikiendelea kucheza la liga hata kama ikitokea Cataluña imejitenga.
Ni kweli, kweli ila tatizo siasa zao zimeingia sana na kuathiri mpira na timu yetu pendwa. Ngumu kutenganisha siasa na mpira huko spain, hasa kwa Barca na Bilbao. Ona juzi tumecheza bila mashabiki. Somehow inakuwa our business.Their political conflicts is not our business, lakini ningefurahi kuona Barca ikiendelea kucheza la liga hata kama ikitokea Cataluña imejitenga.