Nilijua ntakuta umelichambua hili suala🙂🙂. Mi hata sijaelewa ila naona kama Messi hakuwa offside Suarez naona kama alikuwa offside, labda linesman alijua Messi ndiyo anafunga.utaalam wangu umefikia kikomo,ina maana hili goal sio offside
Lingekuwa goli kali sana hili.Suarez anafunga goal goalkeeper anaokolea ndani referee anakataa sio goli dk 46'
La Liga wanabidi wajishitukieSuarez anafunga goal goalkeeper anaokolea ndani referee anakataa sio goli dk 46'
Tumenyimwa goli mbili huko nyuma zilizosababisha tupoteze point 4.Kuna goal pia game ya nyuma tulinyimwa, ni wakat sasa uongoz wa ligi ulitazame hili swala
Yeah na ile style ya back kickLingekuwa goli kali sana hili.
Goal kabisa hili mara ya tatu ndani ya season hii tunabaniwaView attachment 653270
Shida sana
Nilikuwa sija notice hiyo kitu-kumbe kuwepo space kuna fanya soccer la leo liwe tamuMara nyingi tukicheza 433 mpira una burudani sana space inakuepo.
Spain kiteknologia wapo nyuma mnoGoal kabisa hili mara ya tatu ndani ya season hii tunabaniwa
Nimesoma barcablaugranes kuna mtu kasema kuwa Messi hakuwa offside na Suarez naye hakuwa offside kwasababu hakuwa mbele ya mpira wakati anapokea ile pasi wote na Messi walikuwa kwenye line moja.utaalam wangu umefikia kikomo,ina maana hili goal sio offside
hasira zake atamalizia kwenye ClassicoMessi anakosa penalty