Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Nilijua ntakuta umelichambua hili suala🙂🙂. Mi hata sijaelewa ila naona kama Messi hakuwa offside Suarez naona kama alikuwa offside, labda linesman alijua Messi ndiyo anafunga.utaalam wangu umefikia kikomo,ina maana hili goal sio offside