FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Anampenda mnooo basi kiburi tu.

sasa mamaa nakuachia hii thread uwe japo unailinda hii thread maana kule JF WASAP GRUP nikipotea kidogo wanaiponda barca
 
sasa mamaa nakuachia hii thread uwe japo unailinda hii thread maana kule JF WASAP GRUP nikipotea kidogo wanaiponda barca

Mwe mlinzi mwenyewe mie sasa huo mpira naushabikia tu hata siujui, huyo cute b akirudi tena sijui nitamfanyaje!!! Ngoja nitumie ubabe kidogo, wewe cute b ujue wewe ni mdogo wangu kabisaaaaa sasa naomba uwe na adabu ni dhambi kubwa mno kubishana na wakubwa zako, nitakuachia laana ujue!!! Sasa ole wako!
 
Last edited by a moderator:
Mwe mlinzi mwenyewe mie sasa huo mpira naushabikia tu hata siujui, huyo cute b akirudi tena sijui nitamfanyaje!!! Ngoja nitumie ubabe kidogo, wewe cute b ujue wewe ni mdogo wangu kabisaaaaa sasa naomba uwe na adabu ni dhambi kubwa mno kubishana na wakubwa zako, nitakuachia laana ujue!!! Sasa ole wako!

Hahahaaaa barca mbona inajulikana ni mbovu tuu... hilo halina ubishi sema mjue nini shukuruni mungu fainal mliingia na wa italy lait ingekuwa ni wale viboko yenu wa ujerman mbona mngetaga....
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ningekuwa.na computer ningekupa LIKE YA NGUVU kwa kunikimbizia huyu cute b

Hahahaaa mimi nipo sana huyu atoto ni cha mtoto.
Wew PNC 1 unajua mkiki mkiki wangu huwa nakunyimaga raha sana
 
Last edited by a moderator:
Mwe mlinzi mwenyewe mie sasa huo mpira naushabikia tu hata siujui, huyo cute b akirudi tena sijui nitamfanyaje!!! Ngoja nitumie ubabe kidogo, wewe cute b ujue wewe ni mdogo wangu kabisaaaaa sasa naomba uwe na adabu ni dhambi kubwa mno kubishana na wakubwa zako, nitakuachia laana ujue!!! Sasa ole wako!
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha sasa nikufundishe mwambie hv kuwa man u wamefungwa fainal mbili za uefa na barca hvo man u hawaiwez barca
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa barca mbona inajulikana ni mbovu tuu... hilo halina ubishi sema mjue nini shukuruni mungu fainal mliingia na wa italy lait ingekuwa ni wale viboko yenu wa ujerman mbona mngetaga....

Yaani nyie mnavyotaga mnadhanigi na barca ni hivyohivyo eeeh!! Hakuna cha bahati wala nini barca mpira wanaujua bwana. Alafu si nimekwambia nitakuachia laana!! Mbona umerudi tena.
 
Hahahaaaa barca mbona inajulikana ni mbovu tuu... hilo halina ubishi sema mjue nini shukuruni mungu fainal mliingia na wa italy lait ingekuwa ni wale viboko yenu wa ujerman mbona mngetaga....

Sasa wewe cute b kwani hao bayern si tumefunga nusu fainal mbona unarukaruka na kama ni waital.mbona nyie man u fainal zote tumewapiga
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa mimi nipo sana huyu atoto ni cha mtoto.
Wew PNC 1 unajua mkiki mkiki wangu huwa nakunyimaga raha sana
mikiki ip wakat wewe barca mumeo tena wala hubani unatoa tu atoto asikutishe huyu
 
Last edited by a moderator:
Yaani nyie mnavyotaga mnadhanigi na barca ni hivyohivyo eeeh!! Hakuna cha bahati wala nini barca mpira wanaujua bwana. Alafu si nimekwambia nitakuachia laana!! Mbona umerudi tu.
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha safi saaaaaana atoto huyu cute b lazma aisome namba
 
Last edited by a moderator:
mikiki ip wakat wewe barca mumeo tena wala hubani unatoa tu atoto asikutishe huyu

Hata hanitishi, wao wanaishi kwa matumaini nao wakati barca inapasua tuuu, hayo ni maneno tu ya mkosaji.

ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha safi saaaaaana atoto huyu cute b lazma aisome namba

Ashaisoma zamaniiiii, anajipa moyo tu hapa.
 
Last edited by a moderator:
Hata hanitishi, wao wanaishi kwa matumaini nao wakati barca inapasua tuuu, hayo ni maneno tu ya mkosaji.



Ashaisoma zamaniiiii, anajipa moyo tu hapa.

ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha cute b chaliiiii
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha sasa nikufundishe mwambie hv kuwa man u wamefungwa fainal mbili za uefa na barca hvo man u hawaiwez barca

Ooooh hayo ndio maneno sasa, we cute b kumbe tumewatagisha mara mbili alafu bado unajidai sijui mashetani vitu gani!! Cheeeeeers to yo husbands!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom