Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
lazma atajifunza tu japo.kwa sasa hatafuni
Mmmh!!! Huyu nadhani ndio anapiga cha arusha kabisa, huoni anavyochemka!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lazma atajifunza tu japo.kwa sasa hatafuni
Mmmh!!! Huyu nadhani ndio anapiga cha arusha kabisa, huoni anavyochemka!!
Okey, usisahau tu kunipa na ratiba za mechi, sitaki kuzimiss tena, ila utakomaje na maswali sasa, mwenzio kaka yangu tulikuwa tukiangalia wote kombe la dunia alikuwa akinifukuza eti namsumbua na maswali, mara anichimbe biti eti niangalie ila marufuku kuongea zaidi ya kushangilia tena timu anayoshabikia yeye!! Daah sasa siku naangalia naye mpira nafikiri ilikuwa inacheza barca na manu alafu yeye ni manu, hiyo siku nilicheka mpaka nikaumwa tumbo akanipiga marufuku kucheki nae mpira tenaaaa, unless nihamie manu.
Siyo kukupa ratiba tu Bali akulipie na Dstv kabisaaaa!!!!
Wakuu wa jukwaa hili nakuombeni kuna mtu anaitwa gangchoba huyu jamaa akiongea nyinyi mnyamazieni tuu maana hana cha kuongea anaongea pumba tuu akizikumbuka zile goli nne alizopigwa pale camp nou kutolewa kwenye michuano ya uefa champions league na king leo messi hua hapati picha timu lake limefulia limepoteza muelekeo na chuki dhidi ya king hua hazimwishi kama vile mke alielowa mke mwenza sasa dawa ya ufuso wee tema mate tuu ni kunyamaza manaake naona toka chile achukue copa anaongea kupita kiasi kaishiwa na cha kuongea
ila eveerlenk we ni mshabiki wa kwanza wa man ninayemjua kushabikia barca!.
Okey, usisahau tu kunipa na ratiba za mechi, sitaki kuzimiss tena, ila utakomaje na maswali sasa, mwenzio kaka yangu tulikuwa tukiangalia wote kombe la dunia alikuwa akinifukuza eti namsumbua na maswali, mara anichimbe biti eti niangalie ila marufuku kuongea zaidi ya kushangilia tena timu anayoshabikia yeye!! Daah sasa siku naangalia naye mpira nafikiri ilikuwa inacheza barca na manu alafu yeye ni manu, hiyo siku nilicheka mpaka nikaumwa tumbo akanipiga marufuku kucheki nae mpira tenaaaa, unless nihamie manu.
Ahahahahahahahhahahahahahahhahahahaha na mimi apa nacheka mno, ilikuwa mwaka gani dear!?
Wakuu wa jukwaa hili nakuombeni kuna mtu anaitwa gangchoba huyu jamaa akiongea nyinyi mnyamazieni tuu maana hana cha kuongea anaongea pumba tuu akizikumbuka zile goli nne alizopigwa pale camp nou kutolewa kwenye michuano ya uefa champions league na king leo messi hua hapati picha timu lake limefulia limepoteza muelekeo na chuki dhidi ya king hua hazimwishi kama vile mke alielowa mke mwenza sasa dawa ya ufuso wee tema mate tuu ni kunyamaza manaake naona toka chile achukue copa anaongea kupita kiasi kaishiwa na cha kuongea
Wakuu wa jukwaa hili nakuombeni kuna mtu anaitwa gangchoba huyu jamaa akiongea nyinyi mnyamazieni tuu maana hana cha kuongea anaongea pumba tuu akizikumbuka zile goli nne alizopigwa pale camp nou kutolewa kwenye michuano ya uefa champions league na king leo messi hua hapati picha timu lake limefulia limepoteza muelekeo na chuki dhidi ya king hua hazimwishi kama vile mke alielowa mke mwenza sasa dawa ya ufuso wee tema mate tuu ni kunyamaza manaake naona toka chile achukue copa anaongea kupita kiasi kaishiwa na cha kuongea
Wakuu wa jukwaa hili nakuombeni kuna mtu anaitwa gangchoba huyu jamaa akiongea nyinyi mnyamazieni tuu maana hana cha kuongea anaongea pumba tuu akizikumbuka zile goli nne alizopigwa pale camp nou kutolewa kwenye michuano ya uefa champions league na king leo messi hua hapati picha timu lake limefulia limepoteza muelekeo na chuki dhidi ya king hua hazimwishi kama vile mke alielowa mke mwenza sasa dawa ya ufuso wee tema mate tuu ni kunyamaza manaake naona toka chile achukue copa anaongea kupita kiasi kaishiwa na cha kuongea
tatizo lako chomba una maneno ya dharau kupita kiasi juzi uliongea kitu ulisema sijui niende nikachambe ulijuaje kama mii nimekunya hapa tunaongelea sport utani usipitilize mpaka sisi tunaingia jikwaa lenu kule lakini hatuongei maneno yasiyo na maana wala hatumkwaruzi mtu wee una maneno ya kejeli ila kama nimekuchoma basi samahani isiwe tabu mkuu ila lugha mzuri ndio mwendelezo wa jukwaa letu na ukisema hucomment chochote hapo itakua umenuna na hapindezi mkuu comment zako ndio mwendelezo wa jukwaa letu dont mind hapa tunapoteza mda tuu hunijui sikujui peace n lovehalafu mkuu hapa hatuna uadui...haya ni malumbano tu ya Soka, na bila vijembe na kebehi kwa mpinzani wako basi Soka linakuwa halina ladha.
na ndio maana watu kama Gutierez, aleyn na PNC1 huwezi kukuta wanatoa agizo kama ulilotoa wewe mkuu, coZ wanaelewa utani wa mpira ulivyo.
lakini inaonesha wazi kuwa nimekukwaza na huelewi kuwa ya mipira yanaishia kwenye mipira...so naomba uniwie radhi na hutoona nikipost kitu kwenye jukwaa lako bosi.
ha ha ha ha ha ha ha ha ha wewe uliza swali lolote utajibiwa wala huwez nikeraOkey, usisahau tu kunipa na ratiba za mechi, sitaki kuzimiss tena, ila utakomaje na maswali sasa, mwenzio kaka yangu tulikuwa tukiangalia wote kombe la dunia alikuwa akinifukuza eti namsumbua na maswali, mara anichimbe biti eti niangalie ila marufuku kuongea zaidi ya kushangilia tena timu anayoshabikia yeye!! Daah sasa siku naangalia naye mpira nafikiri ilikuwa inacheza barca na manu alafu yeye ni manu, hiyo siku nilicheka mpaka nikaumwa tumbo akanipiga marufuku kucheki nae mpira tenaaaa, unless nihamie manu.
Siyo kukupa ratiba tu Bali akulipie na Dstv kabisaaaa!!!!
Wakuu wa jukwaa hili nakuombeni kuna mtu anaitwa gangchoba huyu jamaa akiongea nyinyi mnyamazieni tuu maana hana cha kuongea anaongea pumba tuu akizikumbuka zile goli nne alizopigwa pale camp nou kutolewa kwenye michuano ya uefa champions league na king leo messi hua hapati picha timu lake limefulia limepoteza muelekeo na chuki dhidi ya king hua hazimwishi kama vile mke alielowa mke mwenza sasa dawa ya ufuso wee tema mate tuu ni kunyamaza manaake naona toka chile achukue copa anaongea kupita kiasi kaishiwa na cha kuongea