Hahahaaaa!! Guuud morning, hebu ya jana tuyaache tugange ya jayo.
4-0
Hahahahaaaaaaaa yaani nina rahaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa!! Guuud morning, hebu ya jana tuyaache tugange ya jayo.
Mtani hadi huku tuombeane Njaa aisee utakuwa hunipendi kabisa....
Mamy vipi? Kwan jana mchepuko wako alikuwa mwezini nini?
dah! nikajua wamerudisha nyuma ratiba. walikuwa na hasira za del rey. ila tar 23 tutawaonesha who is daddy.Aaah!!! Acha tu Wangu aibu aibu aibuuuu!!!! Mechi ya jana ni ya Super Cup sema ligi ndo tunaanza nao tena......mwenyewe wakati wa half time nikaona 1-0 nikajipa moyo linarudi nikaendelea kumfurahia big house,duh!!! Kuja kuona matokeo baadaye sikuamini nilitamani hata kumuhadithia big house....
Leo ni.mechi ya supper cup marudiano kati ya Fc Barcelona na Athletic bilbao mechi itaanza saa 5 usiku. USHINDI LAZMA
marudio? kwani mechi ya kwanza matokeo yalikuaje?
Mechi ya kwanza tuliwaachia kwani ikumbukwe jumanne wachezaj wametoka kucheza na sevila tena 120 alf jumatano wamerud njian kutoka Georgia na alhamis wakafanya mazoez na ijumaa kuingia uwanjani hvyo uchovu ulichangia pia la masia walikuwa wengi
Mbona maelezo mengi sana, mi nataka matokeo tu, kwani mliwafunga ngapi?
Ha ha ha ha ha ha ha mkuu matokeo baada ya mechi kuisha mie sio pweza
Hivi wee ni ke au me?Mtoto sikuwezi kwa maneno.....aibu mwana acha tu, mchepuko umezingua mpaka natamani nimuhadithie wife.......
Hivi wee ni ke au me?
Hahahaaaa eti nasikia ni nne kavu.View attachment 277524ngoja tuone na leo itakuwajeee
namaanisha game ya kwanza mliwapiga ngapi?
Hahahahhaha sikuwezi !!!!!! Loh unavyoniponda nitarudi njia kuu....
Hahahahhaha sikuwezi !!!!!! Loh unavyoniponda nitarudi njia kuu....