FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

pic_2015-09-25_ENTRENO_09-Optimized.v1443182878.JPG
pic_2015-09-25_ENTRENO_11-Optimized.v1443182884.JPG
pic_2015-09-25_ENTRENO_14-Optimized.v1443182894.JPG
pic_2015-09-25_ENTRENO_24-Optimized.v1443182923.JPG
pic_2015-09-25_ENTRENO_26-Optimized.v1443182926.JPG
 
Mechi inayofuata ni Jumamos kati ya Fc Barcelona vs Lad Palma. Saa 11 :00 jioni. UTABIR WANGU ni King Messi lazma apige 3 kuendelea sio ombi ila ni lazma VIVA BARCELONA
 
pnc usiwe na wasi bravo is back maana huyu dogo ter stegen naona amekuwa mchecheto siku hizi huenda kesho bravo atakuwa yupo on group na pia mashabiki wa man u wasikupe shida zile 4 tulizopigwa na celta vigo juzi kweli zinasumbua akili ila hiyo ndio la liga manaake wa epl hua wanasema oooh barca akienda kucheza tayari watu hua wanajiandaa na sherehe ya ushindi sasa nafikiri leo wameona kua laliga hakuna timu mbovu wakumbuke kwamba madrid gem yao ya mwanzo wali droo 0-0 na timu ambayo ilitokea daraja la pili kesho tunampa mtu nyingi ila hawatabiriki hizi timu zinazotokea daraja la pili hua zina ari sana hususan wanapokutana na timu kubwa kama barca ila pale camp nou hatumwi mtoto shambani kwa babu ushindi lazima visca el barca
 
pnc usiwe na wasi bravo is back maana huyu dogo ter stegen naona amekuwa mchecheto siku hizi huenda kesho bravo atakuwa yupo on group na pia mashabiki wa man u wasikupe shida zile 4 tulizopigwa na celta vigo juzi kweli zinasumbua akili ila hiyo ndio la liga manaake wa epl hua wanasema oooh barca akienda kucheza tayari watu hua wanajiandaa na sherehe ya ushindi sasa nafikiri leo wameona kua laliga hakuna timu mbovu wakumbuke kwamba madrid gem yao ya mwanzo wali droo 0-0 na timu ambayo ilitokea daraja la pili kesho tunampa mtu nyingi ila hawatabiriki hizi timu zinazotokea daraja la pili hua zina ari sana hususan wanapokutana na timu kubwa kama barca ila pale camp nou hatumwi mtoto shambani kwa babu ushindi lazima visca el barca

Asante mkuu chebi kwa maneno yako mazur saaana kesho las palma lazma wakutane na makal ya MSN ndani ya camp nou Pia kuhusu kipa ni kweli ana mchecheto saaana hvyo Bravo ndani ya Lango
 
Last edited by a moderator:
ndo manaake bravo namuaminia yuko serious na kazi yake nampenda sana
 
LADIES AND GENTLEMEN TUNAWAKARIBISHA NOU CAMP MAJIRA YA SAA 11 JIONI KWENYE SHEREHE YA MABAO ss ndio fc Barcelona habar ya dunia WAPINZANI MTASUBIRI SANA
 
LADIES AND GENTLEMEN TUNAWAKARIBISHA NOU CAMP MAJIRA YA SAA 11 JIONI KWENYE SHEREHE YA MABAO ss ndio fc Barcelona habar ya dunia WAPINZANI MTASUBIRI SANA
leo karibia watu elfu 99 watakuwa wanaimba cant del barca, na hivi tuna hasira ya jtano!
 
mechi iliyopita walimpiga sevilla 2 mtungi.

Yap ni kweli inatakiwa tusiwadharau sana hata hvyo pia Sevilla had sasa bado hajawa vzur nazani ni wa mwisho la liga au wa 2 kutoka mwisho
 
1 M. ter Stegen
3 Piqué
4 I. Rakitić
5 Busquets
9 L. Suárez
10 L. Messi
11 Neymar
14 J. Mascherano
15 Bartra
20 Sergi Roberto
21 Adriano Correia
 
Back
Top Bottom