FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hivi yule jamaa alietusumbua sana tulipopigwa na madrid mbona simuoni humu leo...afadhali jukwaa limepoa
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Kama mchezaji ana njano tayari na kacheza rafu ya nyuma ni nini kinafuata?
Rafu ya nyuma ni mara nyingi straight red mbali na kuwa na njano, ila hii ya torres its like busqet kaweka upaja, naona ni ilipaswa ikuwe foul ya kawaida bac, ni maoni yangu mkuu hongera kwa ushindi alf
 
unapo fanya faoul ukapewa njano pia jua kwamba ni onyo unapewa ili usifanye rafu za kijinga lakini tores hakuliona hilo kaenda kufanya rafu ya kijinga tena hakugusa hata mpira kampiga kwa nyuma sergio bousqet hapo alitegemea refa nini atafanya huu si mpira wa rugby na hata huo ukifanya faoul unatoka
 
Felix Brych...ameiharibu radha ya hii game, kuanzia dakika ya 36 baada ya red card ya Torres mwelekeo wa game ulikuwa si mzuri sana ulikuwa mchezo wa upande mmoja na pia bado Mjerumani huyu aliendelea kugawa kadi kama njugu kwa player wa Atletico, mpaka game inaisha kadi nane 8 za njano na moja nyekundu zilitolewa kwa upande wa Atletico Madrid huku watatu tu wa Barca ndio waliozawadiwa kadi. Ni kweli kuwa Atletico huwa wanacheza taff game lakini bado mwamuzi alitekwa na tabia ya wachezaji wa Barca kumzonga kila mara, na kiukweli walifanikiwa kuteka akili yake. Mara nyingine UEFA wawe wanaangalia ktk uteuzi wao wa waamuzi ktk game taff kama hii, nafikiri referee toka EPL hii game ingemfaa sana. Nieleweke sisemi kuwa mwamuzi alikuwa upande wa Barca Nooo, but game ilimshinda.
 
Felix Brych...ameiharibu radha ya hii game, kuanzia dakika ya 36 baada ya red card ya Torres mwelekeo wa game ulikuwa si mzuri sana ulikuwa mchezo wa upande mmoja na pia bado Mjerumani huyu aliendelea kugawa kadi kama njugu kwa player wa Atletico, mpaka game inaisha kadi nane 8 za njano na moja nyekundu zilitolewa kwa upande wa Atletico Madrid huku watatu tu wa Barca ndio waliozawadiwa kadi. Ni kweli kuwa Atletico huwa wanacheza taff game lakini bado mwamuzi alitekwa na tabia ya wachezaji wa Barca kumzonga kila mara, na kiukweli walifanikiwa kuteka akili yake. Mara nyingine UEFA wawe wanaangalia ktk uteuzi wao wa waamuzi ktk game taff kama hii, nafikiri referee toka EPL hii game ingemfaa sana. Nieleweke sisemi kuwa mwamuzi alikuwa upande wa Barca Nooo, but game ilimshinda.
Ningeshangaa usingetoa uchambuz wako usio na mantiki 7bu ulikuwa mstar wa mbele kusema Atletico atafika final
 
Felix Brych...ameiharibu radha ya hii game, kuanzia dakika ya 36 baada ya red card ya Torres mwelekeo wa game ulikuwa si mzuri sana ulikuwa mchezo wa upande mmoja na pia bado Mjerumani huyu aliendelea kugawa kadi kama njugu kwa player wa Atletico, mpaka game inaisha kadi nane 8 za njano na moja nyekundu zilitolewa kwa upande wa Atletico Madrid huku watatu tu wa Barca ndio waliozawadiwa kadi. Ni kweli kuwa Atletico huwa wanacheza taff game lakini bado mwamuzi alitekwa na tabia ya wachezaji wa Barca kumzonga kila mara, na kiukweli walifanikiwa kuteka akili yake. Mara nyingine UEFA wawe wanaangalia ktk uteuzi wao wa waamuzi ktk game taff kama hii, nafikiri referee toka EPL hii game ingemfaa sana. Nieleweke sisemi kuwa mwamuzi alikuwa upande wa Barca Nooo, but game ilimshinda.
mwenzako amekaa darasani kupata cheti cha FIFA, kama kweli kadi hawakustahili tutasikia msimamo wa UEFA.
au na ww una cheti cha u referee cha TFF
 
1459925424238.jpg
1459925436301.jpg
1459925462088.jpg
mechi ngumu sana ikizingatiwa wanarekod nzuri dhidi ya Barcelona kwenye uwanja wao wa nyumbani ANOETA
 
Walikiwa pungufu mmetoa ulimi nje, subiri sasa game ya marudiano

Watoto wa wenger bhana Mnaongea mno ka chiriku,, so Uefa cup mtalisikia kwenye na kuliona kwenye tv zenyu tu! So Mmebakia kwenye Premier na hilo pia mtalisikia tu kwenye tv😀
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Back
Top Bottom