FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

NAONA THREAD MDA SI MREFU ITAANZA KUVAMIWA NAFIKIR MATOKEO YABADILIKE FASTA
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Aibuuuuu
Tena la pili mmefungwa messi yumo
 
kikosi kilikuwa vibaya leo. hata wewe utakuwa uliona. ile id yako ngumu kutamka imepatwa na nini?
Unapretend kunijua ee!!? Nna Id moja ndio hii
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Mmefungwa na watoto walopanda daraja
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Ahahahaaah...
Poleni sana mazee...
Ila timu kama Barca ikifungwa huwa najua ni Bahati mbaya tu..!
Sio kama wale NYUMBU wengine wa UINGEREZA waliokalia kubebwa na HISTORIA..!
 
shukrani kwa kumtambua
5fbc43efcd3101f9094bca57797648ac.jpg

Pigaaaaaaaaa
Mbwaaaaaaaaa
[emoji351] [emoji351] [emoji351] [emoji351] [emoji351] [emoji351]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Poleni nyumba hii mmejitahidi kama atletico alitoa droo kufungwa mbili mmejitahidi
 
Cilessin kawa wazawadia watu ma wili huko
Barca bado hajaanza league,jikokoteni wakati simba akiwa kalala punde akiamka itakuwa hatari-hii mechi tulikuwa tuna experiment mambo Fulani-yakishatengemaa Barca tunategemea ata revolutionise SOCCER to level never before seen on mother earth
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Back
Top Bottom