Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duhhh punguza ukali wa maneno.....Halafu wapumbavu wanataka Messi aende EPL, hivi kaka kwanini tusianzishe thread ya Messi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119]Ever upo upande wa nani sasa? Mimi au Allein? Inaonyesha upo kwa Allein sio🙁? Toa iyo avatar, rudisha ya zamani, inanikumbushia Messi akiwa na nywele ndefu.....
Kwani wewe ni nani yake, unajua mimi nikiangalia hiyo avatar yake nakumbuka nini?
Usitake nimwambie abadili na ID.
Mulize tu mimi nani kwake atakuambia, hata PNC anajua hilo' ni siri kubwa mno, hatakiwi mwingine akajua😀😀...Unakumbuka nini?
Halafu wapumbavu wanataka Messi aende EPL, hivi kaka kwanini tusianzishe thread ya Messi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119]
Ngoja akipiga tukio lingine tunaanzisha Thread yake, au tuombe mods thread hii iwe ya MESSI na Barca.Wazo zuri mkuu! maana ukiangalia hakuna mchezaji aliyewahi kudumu mda mrefu bila kudrop, tumejionea kwa wachezaji wengi tu wamepotea mapema na kukimbilia ligi zisizojulikana.....messi iz amazing player, ni mchezaji aliyekamilika, asie na skendo mbaya, ni mchezaji aliyecheza miaka mingi bila kushuka, yeye ni kupanda tu kila day, na bado anaendelea kuvunja marekodi..... thread yake ilitakiwa iwepo miaka 8 kabla...
Ngoja akipiga tukio lingine tunaanzisha Thread yake, au tuombe mods thread hii iwe ya MESSI na Barca.
Mkuu, wewe sasa ndo shabiki wa Barca sio kama PNC. Wakati nasoma Post gako nilikuwa nakula, kwa heshima yako nikaona sio vema kukujibu wakati nakula.
Mkuu, inapendeza sana mtu ukiwa na fact za wachezaji kama hizi, wewe ni tofauti na mashabiki wengine wa Barca.
PNC kaja Barca baada ya Messi kuweka mpira wavuni mara 4 dhidi ya Arsenal pale Camp Nou. Jamaa aliapa kuwa Arsenal akipigwa na Barca atahamia moja kwa moja Barca. Sasa mtu kama huyu hawezi kuwa na Fact za Messi kama hizi.
Binafsi kati ya namba 9 nnazozikubaki duniani, namba 1 ni Kun Aguero, anafuata Lewandowski. Suarez halikuwa chagua sahihi kwa Barca badala ya Aguero ila tulimchukua Suarez sababu sio mtu wa kupata majeruhi mara kwa mara. Magoli ya Aguero hayafananii na EPL, ni magoli kama ya Messi. Ni mtu makini mno ktk ufungaji na hatumii nguvu nyingi kama Suarez. Yupo kawaida sana, anakokota, anapiga chenga na anaweka mpira wavuni. Aguero na Lewandowski nawakubali mno hawa watu kuliko hata Suarez.
Asante!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu Aleyn nilishakwambia toka kule kwenye group la jf wasap kuwa upunguze kutumia viroba[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] umeona sasa pumba unazoongeaMkuu, wewe sasa ndo shabiki wa Barca sio kama PNC. Wakati nasoma Post gako nilikuwa nakula, kwa heshima yako nikaona sio vema kukujibu wakati nakula.
Mkuu, inapendeza sana mtu ukiwa na fact za wachezaji kama hizi, wewe ni tofauti na mashabiki wengine wa Barca.
PNC kaja Barca baada ya Messi kuweka mpira wavuni mara 4 dhidi ya Arsenal pale Camp Nou. Jamaa aliapa kuwa Arsenal akipigwa na Barca atahamia moja kwa moja Barca. Sasa mtu kama huyu hawezi kuwa na Fact za Messi kama hizi.
Binafsi kati ya namba 9 nnazozikubaki duniani, namba 1 ni Kun Aguero, anafuata Lewandowski. Suarez halikuwa chagua sahihi kwa Barca badala ya Aguero ila tulimchukua Suarez sababu sio mtu wa kupata majeruhi mara kwa mara. Magoli ya Aguero hayafananii na EPL, ni magoli kama ya Messi. Ni mtu makini mno ktk ufungaji na hatumii nguvu nyingi kama Suarez. Yupo kawaida sana, anakokota, anapiga chenga na anaweka mpira wavuni. Aguero na Lewandowski nawakubali mno hawa watu kuliko hata Suarez.
Asante!
Aha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha Mkuu, siku hizi nna amani saaaana. Unakumbuka zile kasumba za siku zileeeeeeeeeee.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu Aleyn nilishakwambia toka kule kwenye group la jf wasap kuwa upunguze kutumia viroba[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] umeona sasa pumba unazoongea
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji23] ni ginious pekee ndio atakuelewa ila usiridie tenaAha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha Mkuu, siku hizi nna amani saaaana. Unakumbuka zile kasumba za siku zileeeeeeeeeee.
Ngoma si ukapasuka tena bhanaaa, dogo akagoma kuchomoa, weeeeeeeeeeeeeeeeee!!! Sasa hivi nimekoma!
Hivi kaka ikitokea Messi akaenda Man U, utaungana na Everlenk kuishabikia Man U?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji23] ni ginious pekee ndio atakuelewa ila usiridie tena
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] haitotokeaHivi kaka ikitokea Messi akaenda Man U, utaungana na Everlenk kuishabikia Man U?
Mnazugisha nini na story zenu za viroba,wala siyo siri PNC ni Arsenal mbona inajulikana long tu[emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji23] ni ginious pekee ndio atakuelewa ila usiridie tena
Aha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha Mkuu, siku hizi nna amani saaaana. Unakumbuka zile kasumba za siku zileeeeeeeeeee.
Ngoma si ukapasuka tena bhanaaa, dogo akagoma kuchomoa, weeeeeeeeeeeeeeeeee!!! Sasa hivi nimekoma!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu Aleyn nilishakwambia toka kule kwenye group la jf wasap kuwa upunguze kutumia viroba[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] umeona sasa pumba unazoongea
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Hivi kaka ikitokea Messi akaenda Man U, utaungana na Everlenk kuishabikia Man U?
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]