DNA ya Barcelona ni high pressing ,Guardiola aliijenga Barca kwa misingi ya Cruyff timu ikipoteza pass ndani ya Sekunde inarudi kwenye himaya ,Barca inaundwa na viungo 3 na siyo washambuliaji
Barca hii haifanyi pressing ,midfield ipo slow ,na Barca hii ikikutana na timu inayo press inapata tabu sana refer game ya Betis,sociedad anoeta,ATM sec leg,nk
Viungo wanazingua haswa Rakitic footwork yake mbovu ,Gomes sijui kakumbwa na nini huyu..
Endapo Luis Enrique asipo saini
Basi Eusebio Sacristan kocha wa Sociedad ana nafasi kubwa ya kuchukua mikoba ,kwanza ni mwanafunzi wa Cruyff, amekaa Barca muda mrefu ,falsafa yake ni pressing sana,na tiki taka kaibadilisha sana real sociedad na malegends wanampigia chapuo ..mie naona sacristan anafaa kuchukua post na ana nafasi kubwa ..koe man ,sampaoli sidhani
Barca hii miyeyusho sana na Enrique ni chanzo timu inacheza pass nyingi backline kuliko kwenye kiungo huku akitegemea MSN
PSG wakifanya pressing nou camp Barca hatoki ,kiungo cha Barca haiwezi kuhimili pressing