Pionaire
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 1,603
- 1,135
Idadi ya magoli ya Messi from day 1 siku kama ya leo 2005View attachment 503503
Hii Nayo unaijua...LEO10 amefikia magoli 500 kwa barca baada ya miaka 12 huku CR7 anamagoli 400 kwa Madrid katika miaka 7 tu...Na kumbuka ni tofauti ya misimu mitano CR7 amezidiwa Na messi apo Spain...hii Ina maana kuwa goal scoring rate ya CR7 kwa madrid katika kila msimu ni nzuri kuliko LEO10...Yani CR7 ana wastani Wa goli 57 kwa kila season aliocheza LALIGA While LEO10 ana wastani Wa goli 42 kwa kila msimu aliocheza LALIGA...Kiwepesi ni kuwa "IF CR7 WAS MOVED TO REAL-MADRID ONLY A TWO SEASONS EARLIER... HE WOULD OVERCOME MESSI SCORING RECORD FOR BARCA"...Mind it or not!!!





