Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Medical store department. Lazima watu wanyweshwe mkojo wa punda mwaka huu.Nitaandika tu code ya
MSD tayari
Kwani uongo?messi anazingua now daysWewe acha upotoshaji Messi sio technical director wala nani i doubt about upenzi wako na Barca una matango pori mengi sana
Transfer ya Lamasia graduate wanaohusika ni management
Hawawezi kumchukua draxler mkuuTukimpata Draxler itakua tumefanya jambo la mbolea sana, jamaa anajua sana. Hiyo hela tunayotaka tumnunue coutinho waliokataa mi naona tusiongeze tumchukue tu Saul Niguez wa athletic madrid.
Mkuu una uhakika? Maana tumesikia kwa mda sana hizi habari pasipo na mafanikioSio rumors ni Done deal
Dembele anatua Barca,ni better option kuliko CoutinhoMkuu una uhakika? Maana tumesikia kwa mda sana hizi habari pasipo na mafanikio
Kiungo tulikuwa vibaya kwasababu ya obssesion ya makocha Gomes. Si uliona juzi alivyoliwa kanzu na Modric. Lakini kiungo tupopoa kwasasa. Paulinho ni kiungo mzuri tu. Na bado tuna roberto na Alena. Ukiacha mbali Iniesta, raki na busi. Viungo hao sita wanatutosha sana.Hata akitua coutinho ni mzuri sana kwaajili ya ushindani kwenye midfield pale... Real wanatuzidi sana kwenye eneo la kiungo.. na mahitaji yetu kabla ya Neymar yalikuwa kiungo sasa daaah hata akija dembele shida ya kiungo bado inahitajika
Samsung S8
Mbona alikuwa suspended indefinitely. Hakuwa akicheza toka agome mazoezi. Ila jmosi saa moja na robo jioni tutakipiga na Alaves kwao. Paulinho kapata vibali vyote anaweza akakamua.dembele hatocheza mechi ya jmoc nasisi tumewakomesha dortmund kama walivyotufanyia kwa neymoney
Ungekuwa unafatilia Bundesliga league usingesema haya maneno.mpira umeingiliwa siku hizi,dembele sio mchezaji wa kununuliwa kwa paund milioni 150
Not pound( £) ni Euro (€)mpira umeingiliwa siku hizi,dembele sio mchezaji wa kununuliwa kwa paund milioni 150
Ungeenda basi kusimamia negotiation ili asichukuliwe kwa bei hyompira umeingiliwa siku hizi,dembele sio mchezaji wa kununuliwa kwa paund milioni 150