FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Mzee wa kukimbiakimbia uwanjani
d5c16a2b5c15604cc3e199fab5dfb3ea.jpg
Habari njema sana
 
Kumbe wachezaji wataokasajiliwa January, 2018 hawatoweza kucheza UCL "round" ya 16 bora??. Au ni Coutihno pekee???. Imenistua sana hii habari!!!
97d6057c93c785c86c3892d55dc22b49.jpg
"With Liverpool in the last 16 of the Champions League, he should want to stick around as he wouldn’t be eligible to play for Barca in the knockout stages".
Aliyekwisha cheza UEFA hawezi kucheza tena team nyingne
 
Habari mbaya this week ni uwezekano wa Macherano kuondoka Barcelona mwezi January aisee nimeumia hawa wachezaji wanaoitumikia team muda mrefu sometimes wanatuacha kwenye pain Fans wao am speechless
Inauma sana kitasa anaondoka
Screenshot_2017-12-09-16-55-54-1.png
 
Habari mbaya this week ni uwezekano wa Macherano kuondoka Barcelona mwezi January aisee nimeumia hawa wachezaji wanaoitumikia team muda mrefu sometimes wanatuacha kwenye pain Fans wao am speechless
Inauma sana kitasa anaondoka
View attachment 647362
Hawa majamaa wanaanza kuzingua wanaona kabisa tuna matatizo defensively wao wanauza tu
Wasijekufanya kama kwa DA tukaanza kuhangaika baadaye
 
Hivi hii barca b naona iko daraja la kwanza,this season sidhani ila je kama next season wakiqualify kucheza la liga wanaweza wakapanda daraja kweli au
Sheria haziruhusu mkuu, hata waki qualify watabaki huko huko. But kwa nafasi yao hawa wezi
 
Dear Virarreal. I wish you all the best tonight.
Tunashukuru mzee maharisho, baada ya match uje pia kuwa pongeza!! Usipo rudi kuwapongeza usitie mguu tena hapa.
Yaaani wewe inainesha ni maharo kuazia matakoni kwako mpaka ubongoni kwako
 
Back
Top Bottom