ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Timu kubwa lakini ni kama vipofu wa kuona vipaji...timu iliyotolewa na Psg juzi walikua nabeki mmoja black hivi mzuri sana...na hata hawa bayern huyu beki yao manywele Daves yupo vizuri sana
Huwa najiuliza hapa kwetu ni nani wanafanya scouting ya namba mpya?huwa hawaoni wachezaji kweli?tatizo lipo wapi?hata kamavtunasumbuka kupata sign ya mtu kama Neymar jr si waende hata atalanta kuna madogo watamu sana mule
Huwa najiuliza hapa kwetu ni nani wanafanya scouting ya namba mpya?huwa hawaoni wachezaji kweli?tatizo lipo wapi?hata kamavtunasumbuka kupata sign ya mtu kama Neymar jr si waende hata atalanta kuna madogo watamu sana mule