Hardlife
JF-Expert Member
- Apr 11, 2021
- 2,758
- 6,299
Barca ya sasa ya kulilia Top 4?Mbona ukiachana na real Madrid bado point 5 kukaa top 4 maana aliyeshika nafas ya tatu akipoteza mech 2 hasira za nini sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Barca ya sasa ya kulilia Top 4?Mbona ukiachana na real Madrid bado point 5 kukaa top 4 maana aliyeshika nafas ya tatu akipoteza mech 2 hasira za nini sasa
We utakuwa YANGA sio bureI love you Barcelona🔵🔴
Ile game yao ya mwisho barca na granada sio kwa kubutua kule. Barca mnabutua kuwazidi JANG'OMBE asee mnasafari ndefu kuipata ile TICK TACK tenaTimu ishagajifia hii
Kwanini uongelee game ya granada pekee? Vipi jana kwenye classico?Ile game yao ya mwisho barca na granada sio kwa kubutua kule. Barca mnabutua kuwazidi JANG'OMBE asee mnasafari ndefu kuipata ile TICK TACK tena
Sio game ya granada tuu game almost zoote mnabutua. Jana mmeachiwa kidogo mshaanza kujipa ujiko. Nyimbo moja redion mshaanza jisifu mnataka colabo na P DIDYKwanini uongelee game ya granada pekee? Vipi jana kwenye classico?
Kumbe huwa mnaachia? Endeleeni hivyo hivyo!Sio game ya granada tuu game almost zoote mnabutua. Jana mmeachiwa kidogo mshaanza kujipa ujiko. Nyimbo moja redion mshaanza jisifu mnataka colabo na P DIDY
Cjawahi kuwa Simba wala Yanga maishani mwanguWe utakuwa YANGA sio bure
Ticktakck Ni yetu milele, Ni Kama samaki na maji (samaki akiwa nje ya maji Ni pale tu umauti unapomfika)Ile game yao ya mwisho barca na granada sio kwa kubutua kule. Barca mnabutua kuwazidi JANG'OMBE asee mnasafari ndefu kuipata ile TICK TACK tena
Umeongea kauli ya kitoto Sana, eti "tuliachiwa"Sio game ya granada tuu game almost zoote mnabutua. Jana mmeachiwa kidogo mshaanza kujipa ujiko. Nyimbo moja redion mshaanza jisifu mnataka colabo na P DIDY
Namaanisha game plan ya madrid jana iliwaruhusu mmilili mpira ila cha moto mlikiona. Ukiona unaenda na madrid extra time toa timu uwanjani yaishe tuu usije umia.Umeongea kauli ya kitoto Sana, eti "tuliachiwa"
Ile ilikuwa falsafa ya Johan Cryuff sasa sijui unaposema ni yenu milele sijui unaelewa unachoandika au???Ticktakck Ni yetu milele, Ni Kama samaki na maji (samaki akiwa nje ya maji Ni pale tu umauti unapomfika)
Kazidisha maringo. Anataka mipesa mingi sana wakati anaspend muda mwingi hospitali kuliko uwanjani. Alichokosea zaidi yeye na agent wake, ni kuchelewesha makubaliano mpaka transfer window inakaribia kufungwa akijua ataweza kulazimisha apewe pesa anayotaka.Dembele ameambiwa aondoke barca atafute club nyingine kabla ya tar 31/01/2022.
Mpuuzi sana yule kijana, mbona mwenzake Umtiti kakubali mkataba mpya tena wenye maslahi pungufu. Hata hivyo Barca ina uvumilivu kwa mchezaji ambaye ametumia muda mwingi wodini kuliko uwanjani. Hana lolote kubwa analolifanya kwa ajili ya timu, tena ikitokea amehamia timu nyingine huenda hata nusu ya mshahara ambao Barca walikuwa wamempatia asiupate maana timu nyingi kubwa mifukoni pamekauka.Kazidisha maringo. Anataka mipesa mingi sana wakati anaspend muda mwingi hospitali kuliko uwanjani. Alichokosea zaidi yeye na agent wake, ni kuchelewesha makubaliano mpaka transfer window inakaribia kufungwa akijua ataweza kulazimisha apewe pesa anayotaka.
Ameshaambiwa, either asaini au auzwe this January. Tofauti na hapo, kama atalazimisha kubaki ili aondoke kama free agent, basi hatapewa nafasi ya kucheza. Kamwaga mboga, sisi "tunamanga" ugali. Ngoja tuone nani atalala njaa!